Live Updates: FC Platinum vs Simba SC, Uwanja wa Taifa - Zimbabwe

Mkuu, kati ya Bocco au Manula aidha watacheza wote au atacheza mmoja.

Kumbuka taarifa inasema kucheza kwao ni 50/50.
Ni kweli mkuu wanaweza kucheza na Kama ikatokea Bocco yuko fit basi lazima ataanza yeye then Kagere atakuwa sub.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…