Live Updates: FC Platinum vs Simba SC, Uwanja wa Taifa - Zimbabwe

Licha ya pasi za mwisho lakini huyu Mzamiru huwa anamakosa mengi Sana pale katikati pasi nyingi huwa zinapotea kwake na huwa hawezi kabisa kubadilika kulingana na kasi ya mchezo
Nikweli,
 
Licha ya pasi za mwisho lakini huyu Mzamiru huwa anamakosa mengi Sana pale katikati pasi nyingi huwa zinapotea kwake na huwa hawezi kabisa kubadilika kulingana na kasi ya mchezo
Sasa tutambadili vipi ?!
 

....We jamaa bwana... Eti baada ya Simba kuiondosha kwa aibu Plateau FC kwa goli 1-0. Mnacheza sana mpira mdomoni nyie Mikia FC
 
Sasa tutambadili vipi ?!
Hatuwezi kumbadili kwasababu ndio aina yake ya uchezaji, huyu anatufaa kwenye match za nyumbani ambapo wapinzani wanakuwa under pressure wanacheza kwa tahadhari kubwa sana lakini kwa match za ugenini hapana, au kwenye ligi ya ndani hasa kwenye viwanja vya mikoani ambako anavimudu vema.
 
Duuh,
 
Mkuu nimependa maelezo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…