Live Updates: FC Platinum vs Simba SC, Uwanja wa Taifa - Zimbabwe

Nimeona mkuu yani hapo tusiwe na wasi kabisa ushindi upo na hata Kama wakiwa wagumu kiasi gani basi hata sare tutapata, Cha kuomba Mungu ni wachezaji wawe katika viwango vyao bora tu leo.
 
Unaharibu Uzi Sasa.
Hao utopolo umewaweka wa nini?
Timu yenyewe mbovu
VPL TODAY 23 DEC 2020.

(Match yakutazamwa)

Match, 17

1500Hr: Ihefu FC v Dar Young Africans.

('Mechi' ya mwisho, 'round' ya kwanza.)

Venue: Sokoine Stadium, MbeyA.
 
Utopolo wanajipendekeza kwa timu za nje lakini tukifanya yetu zinapatikana nafasi za viti maalumu hawaziachi
 
Wakuu mwenye link ya kuangalia hii game kwa tulio mbali na runinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…