Hehehehehe..... Ole wake..... narudia tena Ole wake kijidume kitakachojifanya chenyewe ni kijanja cha kukagua wanaume wenzie. Ntakilamba permanent ban mpaka kwenye server. Manina zake na nusu....Hahahahaha
Aisee.... angalia saa nyingie Messi anakumbana na hatari kubwa kiasi cha kuhatarisha afya yakeUsihofu, hapa ni kama Messi!
Waambie kabisa na mabinti wasiwe na hofu, Ukaguzi wa kina utakuwepo pia. Babu mkaguzi mkuu ntakuja na vipimo vyote vya ukaguzi.
Hehehehehe..... Ole wake..... narudia tena Ole wake kijidume kitakachojifanya chenyewe ni kijanja cha kukagua wanaume wenzie. Ntakilamba permanent ban mpaka kwenye server. Manina zake na nusu....
Ndo niko njiani hivyo wakulu... Code gani inatumika ili kutambuana?
2taelekezana
Heheheheheh! Manake kwa kukagua weye huna tofauti na nyau lol
Aisee.... angalia saa nyingie Messi anakumbana na hatari kubwa kiasi cha kuhatarisha afya yake
Umekula mchana?
Yeah kama kawa. Ila ntachelewa kiduchu. Mkoloni kanishika naniliu kiaina nashindwa kuchoropoka