Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

Na mtu mwenyewe namjua maana ndo zake kudondosha gari. Natamani nimtaje lakini naogopa kutukanwa mie..... Si ushamjua??

Shuhudia mwenyewe matusi yake

Dah,hata mimi naogopa kumtaja Madame B kuwa ndiyo mhusika!
 
Last edited by a moderator:
Jamani HQ ya JF iko Makorora kwetu Tangaaaaaa.
 
what is a dressing code for tonight's get together? Tutatambuanaje? Naomba nieleweshwe ili nije na shemeji yenu mzee wa malaptop hadi kuangalia mpira
 
what is a dressing code for tonight's get together? Tutatambuanaje? Naomba nieleweshwe ili nije na shemeji yenu mzee wa malaptop hadi kuangalia mpira

uje na yule mme wa jirani yako anayekujaga kuangalia mpira usiku ili nimfahamu
 
Haya wakuu ndio nimetia timu this time hapa Brajec, nimekaa kwenye miamvuli karibu na kikao cha harusi nikiwa nina liji dadavuzi mpakato langu aina ya HP
 
Kuna jamaa amekaa kaunta na shati la pinki sijui ndiye Asprin...!@
 
Last edited by a moderator:
MKATA KIU, nhisi kama ni wewe hapo kwenye huo mtumbwi unawadanganya wenzio kuwa wewe ni mdogo wake NAPE
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…