Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

huu uzi mbona siuelewi :nimekataa figganigga mzee wa mitaa upo?
je wewe unaelewa kinachoendelea hapa?:bowl:
 
Last edited by a moderator:
habhari yenyu bhanaa..!! chezea figganigga weye!.vp Mbu wa hapo chimbo wanauma eeh? Mumekosea sana. hilo chimbo ni mchana tu ukitaka kwenda usiku nenda na net kabisa.
Huko hamna sehemu za short time. ukiitaka unashuka sinza!. lakini denda za barabarani mtakomana coz ni mtaa wa giza.
Hata hivyo nawaonea tamaa!!. next time stakosa lakini napendekeza iwe mbalamwezi au jangwani sea breeze coz napende kuogelea na kuua humo humo hahahaaa..!. ambiance inahuu. tukutane pale tucheze gfsonwin. mia
 
Last edited by a moderator:
huu uzi mbona siuelewi :nimekataa figganigga mzee wa mitaa upo?
je wewe unaelewa kinachoendelea hapa?:bowl:

mkuu hapo ulipo karibu sana. kama vipi wapandie uwapelekee na ule mzigo. mchana nilikua hapo dolfin kamanyola lakini simu yako ilikua haiiti. nambie ambiance au sansiro?. au twende sam njuma tukatoe kampani. nipe ratiba kamili mkuu. leo najiskia kupinda ka mkia wa kinyonga. chezeya figganigga weye!. mia
 
Last edited by a moderator:
Yani hunishindi mimi Mrembo.
Yani kwa kweli roho yangu imesuuzika vilivyo mamii mara tu nilipokuona,u mrembo mamii,wacha nikusifie.
Ila usisahau yale maujumbe yangu kuleeee...

Asante sana Mamito!!!
Maujumbe yako ntayafikisha,,,!!!!Mwaaaa!!!
 
kwani Madame B wapo wangapi humu. Mi nnachojua yupo Mwanza!!

Ndo uchanganyikiwe sasa, we umeona vyaelea ukadhani mitumbwi eeh!! we lipa tu kodi ya nyumba ukirudi naye atakuwa karudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…