Preta shostito ngoja tu niwe muwazi,japo nitasakamwa kwani nitakuwa natoa siri za Kampuni.
Shosti bwana Wana Jf wa Dar WANAOGOPANA...!!!
Ndio MNAOGOPANA,mnaniangalia nini?
Yani mimi nawaona wasichana Majasiri na wenye utayari wa jambo lolote kwa hapa Dar upande wa Jf ni mimi hapa
Madame B,
cacico,
gfsonwin na
snowhite,
lakini waliobaki ni AmbuAmbu,
Mnaweka mikakati kibao lakini at the end mnajikuta mko wa 4 au 5.
Hebu pata picha jana,members kibao walisema watakuja Brajec, lakini matokeo yake tumekuja Mimi,
marejesho(huyu wa Arusha),
cacico,
charminglady(huyu wa Mwanza),
Mtambuzi,
nicas Mtei,
Asprin,
mathematics full stop.
Maneno meengi,utekelezaji ZIRO.
Nimeshamuagiza shost angu
marejesho kuwa anisajili jina langu huko Arusha,
Chama la Dar limenishinda.
MNIACHE, nahamia AraChuga, wa Dar Mmeniboa.
Eboooo....!!!
Aliyefunika jana alikuw ni
charminglady kwani aliniPM kuwa yuko Mwanza nami nikajimaliza na uongo wangu wooote wa Kisambaa na Kifipa,kumbe mtu yuko hapa kiti cha Pili,tena nikawa najifanya kuongopa laivulaivu.
Anatuma PM, nami najibu,huku mbavu zamkauka kwa kicheko.
Looo...!!!
Mida ya utambulisho inafika,almanusura nizimie kumbe Mtu aliesema yuko Mwanza kumbe niko nae pale pale.
We
charminglady,suprise nyingine hazifai,watu tuna BP, CAMEL na ENGEN....!!!