Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

Maskini Madame B! Angejua angeenda hata Ferri kushangaa Kigamboni! Katoka Chanika hadi Mlimani akajikuta mwenyewe! Pole dear! Lol

Shem wangu Filipo yani hyo jana bora hata ningeenda zangu Njenje nikakate zangu nyonga,
Mtu natoka Kino to Brajec afu nakuta ndivyo sivyo.
Asante mwaya.
 
Last edited by a moderator:
Preta shostito ngoja tu niwe muwazi,japo nitasakamwa kwani nitakuwa natoa siri za Kampuni.
Shosti bwana Wana Jf wa Dar WANAOGOPANA...!!!
Ndio MNAOGOPANA,mnaniangalia nini?

Yani mimi nawaona wasichana Majasiri na wenye utayari wa jambo lolote kwa hapa Dar upande wa Jf ni mimi hapa Madame B, cacico, gfsonwin na snowhite,
lakini waliobaki ni AmbuAmbu,
Mnaweka mikakati kibao lakini at the end mnajikuta mko wa 4 au 5.

Hebu pata picha jana,members kibao walisema watakuja Brajec, lakini matokeo yake tumekuja Mimi,
marejesho(huyu wa Arusha),
cacico, charminglady(huyu wa Mwanza),
Mtambuzi, nicas Mtei, Asprin, mathematics full stop.
Maneno meengi,utekelezaji ZIRO.

Nimeshamuagiza shost angu marejesho kuwa anisajili jina langu huko Arusha,
Chama la Dar limenishinda.

MNIACHE, nahamia AraChuga, wa Dar Mmeniboa.
Eboooo....!!!

Aliyefunika jana alikuw ni charminglady kwani aliniPM kuwa yuko Mwanza nami nikajimaliza na uongo wangu wooote wa Kisambaa na Kifipa,kumbe mtu yuko hapa kiti cha Pili,tena nikawa najifanya kuongopa laivulaivu.
Anatuma PM, nami najibu,huku mbavu zamkauka kwa kicheko.
Looo...!!!
Mida ya utambulisho inafika,almanusura nizimie kumbe Mtu aliesema yuko Mwanza kumbe niko nae pale pale.

We charminglady,suprise nyingine hazifai,watu tuna BP, CAMEL na ENGEN....!!!

Pole sana Madame B! Karibu sana Arusha! JF HQ.
 
Last edited by a moderator:
Shem wangu Filipo yani hyo jana bora hata ningeenda zangu Njenje nikakate zangu nyonga,
Mtu natoka Kino to Brajec afu nakuta ndivyo sivyo.
Asante mwaya.
Afu jana si tulikubaliana usioge? Ikawaje tena umekuja unanukia mipafyumu ya Paris?
 
Hehehehehe! Sijawahi kuona binti mwoga kama wewe. yaani hata kumsindikiza babu maliwatoni nayo waogopa..... Khaaaa!!

By the way, kwanini uliamua kumfanya babu yako zuzu? Ulijisikia raha eh??

raha saaaaana!!!!
 
Haya niambie, inakuwaje simu akikupigia kaka yako network inapatikana mezani lakini simu nyingine network unaipatia kwenye fensi au toilet?

Heee we Babu nawe mmbea, unataka usikie ninachoongea na mabwana zangu ili iweje,kwani jana si nimekwambia?
Mwenzio nimetoka home nimedanganya kuwa kuna rafiki angu kalazwa kwa Kairuki.
Asa unafikiri na mziki ule ningeelewekaje?
Khaaa...!!
Ile Gin uliimaliza?
Afu yule rafiki yako ni Mwana Jf,lakini mbona hakutaka kujitambulisha?
Mwambie nitamchapa na chapio manyoya.
 
nashukuru Madam B kwa kukiri kuwa mlifunikwa.....sisi walitokea wote kama ilivyopangwa.....na tulikula bata mbaya mpaka monii......Chugga chama kubwa bana........karibuni wote mnaohitaji usajili wa kudumu.........
 
Last edited by a moderator:
nashukuru Madam B kwa kukiri kuwa mlifunikwa.....sisi walitokea wote kama ilivyopangwa.....na tulikula bata mbaya mpaka monii......Chugga chama kubwa bana........karibuni wote mnaohitaji usajili wa kudumu.........

Asante Preta,ndo naja hvo.
 
Last edited by a moderator:
Madame B yan mwenzio ckuwa na mbavu jana... at the first time nimewaona mwenzio nilikuwa nabanaje kicheko? sasa wakati kafika Aspirin ndo kabisa nilikuwa nainama chini kucheka...
Jamani am happy to see u!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Heee we Babu nawe mmbea, unataka usikie ninachoongea na mabwana zangu ili iweje,kwani jana si nimekwambia?
Mwenzio nimetoka home nimedanganya kuwa kuna rafiki angu kalazwa kwa Kairuki.
Asa unafikiri na mziki ule ningeelewekaje?
Khaaa...!!
Ile Gin uliimaliza?
Afu yule rafiki yako ni Mwana Jf,lakini mbona hakutaka kujitambulisha?
Mwambie nitamchapa na chapio manyoya.
Maskini, umedanganya ukitegemea utakuja kukutana na mibuzi ya JF Dar, kumbe mibuzi yenyewe tumebaki mababu tu.... Hehehe yule ni mwanaJF mkongwe na kwa kawaida huwa hapendi kujitambulisha. Ila jana alifurahi kuwaona lakini alishangaa waliofika ni wachache pamoja na promo loooote lile. Ile Gin si alitambaa nayo cacico? Mtoto anavyopenda pombe.....Khaaaa!!
....sikutokea mahome,
Nilitoka chobingo,hvo kuoga muhimu.
Ila Babu acha Pombe,
tutakuvua nguo siku moja.
Kaka yangu anafanya kazi TBL. Nikiacha pombe mshahara atapataje? Watoto wake atawasomeshaje?

Nakunywa BIYA kwa malengo shosti.....
 
Last edited by a moderator:
Madame B yan mwenzio ckuwa na mbavu jana... at the first time nimewaona mwenzio nilikuwa nabanaje kicheko? sasa wakati kafika Aspirin ndo kabisa nilikuwa nainama chini kucheka...
Jamani am happy to see u!!!!!
Kwahiyo wakati nakusalimia kwa jina la marejesho ulijisikia raaaaha! Ntakuchapa nakwambia!

Kiukweli nimeikubali surprise yako. babu pia kafurahi kukuona. Sasa kaa mkao wa kukaguliwa ili ukirudi Mwanza vijana wawe na uhakika.
 
Last edited by a moderator:
Madame B yan mwenzio ckuwa na mbavu jana... at the first time nimewaona mwenzio nilikuwa nabanaje kicheko? sasa wakati kafika Aspirin ndo kabisa nilikuwa nainama chini kucheka...
Jamani am happy to see u!!!!!

Ila we mbaya!
Umejikausha kauu!!
Dah! Haijawah kutokea shosti.
 
Last edited by a moderator:
Maskini, umedanganya ukitegemea utakuja kukutana na mibuzi ya JF Dar, kumbe mibuzi yenyewe tumebaki mababu tu.... Hehehe yule ni mwanaJF mkongwe na kwa kawaida huwa hapendi kujitambulisha. Ila jana alifurahi kuwaona lakini alishangaa waliofika ni wachache pamoja na promo loooote lile. Ile Gin si alitambaa nayo cacico? Mtoto anavyopenda pombe.....Khaaaa!!
Kaka yangu anafanya kazi TBL. Nikiacha pombe mshahara atapataje? Watoto wake atawasomeshaje?

Nakunywa BIYA kwa malengo shosti.....

We nawe?
Mibuzi ya siku hz mnachunika?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom