Live updates, Ligi Kuu Vodacom: Mgambo vs Yanga

Ila yanga wanapenda sifa jamani khaa!! si hata mgefunga kamoja tu kwan kesi???

cc nifah, Bantu lady
 
Last edited by a moderator:
Hivi mwehu gani pale msimbazi alipendekeza tambwe aachwe kudadadadeki.....!

Hata mimi huwa najiuliza hivi ni Maximo au Manji au ni nani aliyeshauri Okwi aachwe pale Jangwani? Ki ukweli madhara ya Okwi kwa Yanga ni makubwa zaidi kuliko madhara ya Tambwe kwa Simba. Yule mwehu wa Simba ni sawa tu na huyu mwehu wa Yanga (asomaye na afahamu).
 
Ila yanga wanapenda sifa jamani khaa!! si hata mgefunga kamoja tu kwan kesi???

cc nifah, Bantu lady

Ha ha ha hahahaaaa tumewalipia watani, aibu hakuna tena warudi tu hapa jukwaani.
Mbabe wao tumemnyoosha.
Mzima lakini mito sisi furaha tu, hatuna homa ya vipindi...
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha hahahaaaa tumewalipia watani, aibu hakuna tena warudi tu hapa jukwaani.
Mbabe wao tumemnyoosha.
Mzima lakini mito sisi furaha tu, hatuna homa ya vipindi...

Hongereni sana dada.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha hahahaaaa tumewalipia watani, aibu hakuna tena warudi tu hapa jukwaani.
Mbabe wao tumemnyoosha.
Mzima lakini mito sisi furaha tu, hatuna homa ya vipindi...

The two goals scored by Msuva and Tambwe against Mgambo JKT are hereby dedicated to Simba SC; weep not mtani!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha hahahaaaa tumewalipia watani, aibu hakuna tena warudi tu hapa jukwaani.
Mbabe wao tumemnyoosha.
Mzima lakini mito sisi furaha tu, hatuna homa ya vipindi...

Mzima kabisa aisee na furaha tele!!
Tusubiri hiyo kesho tuone kama Costo watamthibiti huyo kidudu mtu anayetupumilia karibu???
 

Ila pia tuseme tu okwi ana mapenzi makubwa na simba bana, mbona kule yanga alikuwa hajitumi hivyo?? kila wakati yeye kuomba udhuru tu kwenda kwao, halafu hata siku anayokuwemo hajitumi kama afanyavyo kwa simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…