Live updates, Ligi Kuu Vodacom: Mgambo vs Yanga

Live updates, Ligi Kuu Vodacom: Mgambo vs Yanga

Nani wa kutuzuia kuchukua ubingwa? Yanga nakupendaje mimi.
Ahsante wachezaji wetu wa Yanga, huwa hamtuangushi kamwe...
 
Hahahaaa, Katavi hapa tunapishana lakini muda si mrefu tunaungana kule the Gunners...teh teh
Vumilia tu hii ndio Yanga bwana.

hahahaah,,,,,,,hongereni
 
Last edited by a moderator:
Nani wa kutuzuia kuchukua ubingwa? Yanga nakupendaje mimi.
Ahsante wachezaji wetu wa Yanga, huwa hamtuangushi kamwe...

Hapo kwenye red bibie,ebu fungua hapa!!!
http://shaffihdauda.co.tz/okwi-aibeba-simba-taifa-aifunga-yanga-1-0/
 
Hii combination ya Msuva na Tambwe itatisha sana, tuombee wasiondoke
 
Back
Top Bottom