MpigeeeeeeMashujaa wamepata goli basi hongereni sana
Mashujaa anapigwa kama kawaida
Mpigeeeeee
WameshukaMbeya city hawashuki daraja hii haikubaliki
H!kocha kapewa kitasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu ni roho tu inatuuma wana mby lakini sisi ligi kuu tupo level sawa na dar es salaamBora ishuke. Timu za mbeya zilikuwa zimezidi
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pamoja na yote mbeya city itapata goli
Dk 9 za nyongeza,refa anajitahidi kunawa mikóno.
Nimekata tamaa maana kupata goli tatu sijui labda tuvumilie
Sawa sawa![emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Wanakupasuka 3 au 4 bila na safari yao inaishia hapo Sokoine
Ndo kashashuka ssa. PoleMbeya city hawashuki daraja hii haikubaliki
Hahahaaaaa! Uwage unachanganya na zako mkuu, nilimwambia Kigoma hatoki fala, akaniijia juu. Haya sasa!Mpira umeshaisha.Mkuu ulikua unanipotosha.
Hahahaaaaa! Uwage unachanganya na zako mkuu, nilimwambia Kigoma hatoki fala, akaniijia juu. Haya sasa!