MBEGU BORA
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 500
- 357
Bye bye, mnatusumbuaga sana simbaMkuu ni roho tu inatuuma wana mby lakini sisi ligi kuu tupo level sawa na dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bye bye, mnatusumbuaga sana simbaMkuu ni roho tu inatuuma wana mby lakini sisi ligi kuu tupo level sawa na dar es salaam
Refa kafanya sana uhuni sana.kaongeza dk 9 lakin kachezesha dakika 4
Kuna kitu nyuma ya pazia.
Bye bye, mnatusumbuaga sana simba
Sio leo asee, championship ni zaid ya bundesliga labda baada ya miaka 5 iviTutarudi tu ligi kuu ni yetu
Tutarudi tu ligi kuu ni yetu
Ila wachawi balaa, half time walikua wanafukua kitu golinAggregate inasoma 4:1 kweli waha mmetudhalilisha sana
Ndo football mkuu. Mbeya city wamejitakia, game ya yanga waliuzaNdo kashashuka ssa. Pole
Hahahaaa haya bwanaBye bye, mnatusumbuaga sana simba
Ila wachawi balaa, half time walikua wanafukua kitu golin
Ndo football mkuu. Mbeya city wamejitakia, game ya yanga waliuza
Aliuza mbeyq ct au yangaNdo football mkuu. Mbeya city wamejitakia, game ya yanga waliuza
Mambo mengi sana huwa yanabadilika baada ya team kushuka daraja, team kukimbiwa na wachezaji hivyo kulazimika kusajili wa mitaani, wadhamini kukimbia, hizo ni changamoto ambazo huwa zinaonekana kuwa nyepesi ila zina uzito wake katika harakati za kurudi Ligi Kuu.Tutarudi tu ligi kuu ni yetu
Mambo mengi sana huwa yanabadilika baada ya team kushuka daraja, team kukimbiwa na wachezaji hivyo kulazimika kusajili wa mitaani, wadhamini kukimbia, hizo ni changamoto ambazo huwa zinaonekana kuwa nyepesi ila zina uzito wake katika harakati za kurudi Ligi Kuu.
Endelea kupiga ramli zako tu,Mashujaa tupo Ligi kuu tukutane Estadio de Lake Tanganyika.Lakini kwa hao mashujaa watacheza msimu mmoja tu halafu watashuka
Nahisi hata yule jamaa aliempiga ngumi kocha wa Mbeya city ni mjeda kabisaaAseee lakini ni timu ya jeshi la wananchi naona jwtz watajitahidi kuwekeza sana , na leo naona wanajeshi walikua wengi uwanjani kushangilia timu yao
Nahisi hata yule jamaa aliempiga ngumi kocha wa Mbeya city ni mjeda kabisaa
Kufukua kitu golini maana yake ni uchawi??Ila wachawi balaa, half time walikua wanafukua kitu golin
Mashujaa sio timu ya jeshi nitaleta Uzi soonHivi hii timu ya raia au jw