mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Akuachie nani!!! ninyi wenyewe hamtaki kufanya vizur katika ligi ya ndani ili mupate hiyo nafasi ya kutuwakilisha kimataifa, sasa unadhan nani atakuchia hiyo nafasi?! Labda itokee siku moja rais wa caf awe JAMAL MALINZI na katibu wake awe NICHOLUS MUSONYE wao wanaweza kuwapa nafasi ya kushiriki bila kuwa bingwa au makamu bingwa wa ligi kuu kama walivofanye kwenye kagame cup kuwaingizeni kupitia mlango wa nyuma.kweli kaz ya kimataifa tuachien Simba,mabingwa wa kihistoria kagame