Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Yanga ndio wananchi hawaitaji kuji bland popote, walio anzisha TAA, TANU, CCM, SIMBA, RED STAR n.k ao wote wametoka katika viuno vya Yanga.
Yanga ata isipovaa jezi zenye nembo ya Visit Tanzania, uzalendo wa Yanga kwenye nchi hii haupimwi Kwa jezi Bali kupigania uhuru wa Tanzania na nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara. Harakati nyingi za ukombozi wa kusini zilifanyika pale Jangwani.

Simba ilizaliwa baada ya baadhi ya waliokua wanachama wa Yanga kurubuniwa wajiondoe kwenye timu(Yanga) Ili kusaliti vuguvugu la kupambania uhuru wa nchi hii.

Wahindi na waarabu ambao walikua watawala baada ya Mwingereza na raia daraja la pili baada ya mkoloni(Mwingereza)walitumika kuwarubuni wanachama ao waliokua wa Yanga Kwa zawadi ya viatu baadae jezi Ili wajiondoe ndani ya Yanga na walifanikiwa.

Baada ya kufanikiwa kujiondoa Yanga wakapewa viatu vya kuchezea mpira na kuanzishwa timu Yao iliyayo itwa queen [emoji146] Kwa kumfurahisha Mtawala mwingereza.
Yanga ndio nchi, Yanga ndio Wananchi, itabaki hivyo siku zote ndugu wasaliti mbumbumbu fc.
Kweli nyie hamuhitaji kuji bland
 
Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.

Yanga kujibrand kama "timu ya wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.

Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Wao wanainchi sisi ni wenye inchi!.
 
kumbe simba walishaachana na african carriers?....
basi ule mgogoro wa bus inawezekana kweli ulikuwepo, maana siioni logo ya african carriers hapo
Umeangalia vizuri kwenye bango la wadhamini ukamkosa?
 
"Timu yetu ya wanaume ipo katika timu 10 bora Afrika, timu ya wanawake ni ya nne Afrika na tukiwa na mitandao yenye nguvu Afrika, Tanzania tunaongoza."- CEO @imani_kajula

#WenyeNchi
#NguvuMoja
 
"Tunamshuru Mhe. Rais kwa kuturuhusu kuendelea kuitangaza nchi yetu. Naomba wanachama na wapenzi kuendelea kuombea timu yetu ili kufanya vizuri kwa kazi iliyo mbele yetu. Nawapongeza pia Vunja Bei kwa jezi nzuri."- Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu.

#WenyeNchi
#NguvuMoja
 
20230207_195309.jpg
 
kumbe simba walishaachana na african carriers?....
basi ule mgogoro wa bus inawezekana kweli ulikuwepo, maana siioni logo ya african carriers hapo
Simba wako makini sana ndugu yangu, tena hawa wadhamini wadogo wanafaidika zaidi ya pesa waliyotoa kwa kweli.
 
Misimu iliyopita Simba ilipoweka hiyo visit Tanzania ilipata faida gani?
Ukioa ukasomesha mdogo wa mkeo, hakuna faida unayotarajia zaidi ya kuimarisha uhusiano na mkeo. Faida waliyopata Simba kwa kutumia Visit Tanzania ni kulinda uhusiano na mdhamini mkuu, wakati huo akiwa ni SportPesa, maana yalikuwa ni matakwa ya mdhamini kuipa Simba maelekezo ya kuitumia Visit Tanzania
 
kumbe simba walishaachana na african carriers?....
basi ule mgogoro wa bus inawezekana kweli ulikuwepo, maana siioni logo ya african carriers hapo

Wahi hospitali kabla shida haijawa kubwa
 

Attachments

  • Screenshot_20230207-195535.png
    Screenshot_20230207-195535.png
    146.2 KB · Views: 1
Kumbe Yanga kuitwa timu ya Wananchi inawauma na mnatamani Simba ichukue iyo nafasi?? Duuuh mnashangaza sana
Inatuuma kivipi. Nimetoa tu opinion yangu binafsi, unadhani kila kitu kinaendeshwa na chuki tu?

Kiusahihi klabu kujiita timu ya wananchi siyo sahihi maana timu pekee ya wananchi ni ya taifa, kama lilivyo jeshi la wananchi, na mara ya mwisho kucheki timu ya taifa wachezaji wengi walikuwa wanatokea Simba!
 
Tunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.

Halafu serikali hii imetenga bajeti, Kuna billions of money zipo kwa ajili ya kuutangaza utalii, Tunaona viwanja mbalimbali Ulaya utalii wa Tanzania ukitangazwa, hivi mnajua ni mabilioni mangapi serikali yetu inatoa huko? Kwanini msiyapate nyinyi?

Wapumbavu fulani wanaojifanya wazalendo uchwara
utawasikia eti tunatangaza utalii for free[emoji848]

Yaani hii klabu ya masikini ambayo hata bajeti yake tu kwa mwaka mmoja haijitoshelezi paka inakopeshwa fedha na mwekezaji ili iweze kujiendesha eti nao wanajitokeza kutangaza utalii bule[emoji848][emoji848] Utalii wa nyoko[emoji2959][emoji2959][emoji2959]

Hayo mapato yatokanayo na watalii yanainufaishaje nchi? Ninyi ndio mnaowasaidia hawa watawala wa CCM waendelee kuinyonya hii nchi!!!! bladfakeni
 
Tunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.

Halafu serikali hii imetenga bajeti, Kuna billions of money zipo kwa ajili ya kuutangaza utalii, Tunaona viwanja mbalimbali Ulaya utalii wa Tanzania ukitangazwa, hivi mnajua ni mabilioni mangapi serikali yetu inatoa huko? Kwanini msiyapate nyinyi?

Wapumbavu fulani wanaojifanya wazalendo uchwara
utawasikia eti tunatangaza utalii for free[emoji848]

Yaani hii klabu ya masikini ambayo hata bajeti yake tu kwa mwaka mmoja haijitoshelezi paka inakopeshwa fedha na mwekezaji ili iweze kujiendesha eti nao wanajitokeza kutangaza utalii bule[emoji848][emoji848] Utalii wa nyoko[emoji2959][emoji2959][emoji2959]

Hayo mapato yatokanayo na watalii yanainufaishaje nchi? Ninyi ndio mnaowasaidia hawa watawala wa CCM waendelee kuinyonya hii nchi!!!! bladfakeni
Thimba hawana akili
 
Yanga ndio wananchi hawaitaji kuji bland popote, walio anzisha TAA, TANU, CCM, SIMBA, RED STAR n.k ao wote wametoka katika viuno vya Yanga.
Yanga ata isipovaa jezi zenye nembo ya Visit Tanzania, uzalendo wa Yanga kwenye nchi hii haupimwi Kwa jezi Bali kupigania uhuru wa Tanzania na nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara. Harakati nyingi za ukombozi wa kusini zilifanyika pale Jangwani.

Simba ilizaliwa baada ya baadhi ya waliokua wanachama wa Yanga kurubuniwa wajiondoe kwenye timu(Yanga) Ili kusaliti vuguvugu la kupambania uhuru wa nchi hii.

Wahindi na waarabu ambao walikua watawala baada ya Mwingereza na raia daraja la pili baada ya mkoloni(Mwingereza)walitumika kuwarubuni wanachama ao waliokua wa Yanga Kwa zawadi ya viatu baadae jezi Ili wajiondoe ndani ya Yanga na walifanikiwa.

Baada ya kufanikiwa kujiondoa Yanga wakapewa viatu vya kuchezea mpira na kuanzishwa timu Yao iliyayo itwa queen [emoji146] Kwa kumfurahisha Mtawala mwingereza.
Yanga ndio nchi, Yanga ndio Wananchi, itabaki hivyo siku zote ndugu wasaliti mbumbumbu fc.
Mkuu unataka kweli twende huku?
 
"Kushirikiana na Simba itasaidia sana kuitangaza Tanzania."- Mwakilishi wa Bodi ya Utalii pamoja na Wizara ya Maliasili na Utalii, Bernard Mtatiro.

#WenyeNchi
#NguvuMoja
 
Tunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.
Mkuu, unapopangisha kwa mdhamini sehemu ya kifuani ya jezi kwa ajili ya nembo yako, huna mamlaka nayo tena, anayo yeye. Options ni either akuchagulie nembo au aache pabaki wazi, lakini si wewe kupangisha mtu mwingine. Kwa hiyo huwezi kusema ni bure wakati kodi ulishakula
 
Back
Top Bottom