Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
Tehetehe leo inakuwaje mnyama kapakatwa mapeeeema!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Star TvWapi wanaonyesha Match pls !
Star tv wanaonyesha....Mbwana Samata kaondoa gundu pale kuna magoli.Wapi wanaonyesha Match pls !
Hili ndio tatizo letu!Tatizo letu mashabiki wote kimya badala ya kuendelea kushangilia!
Simba kama aiwezi kukomaa, wasubiri ushindi wa mesani, chi refa alisema alipewa rushwa akaikathaa!tumefunga refa kakataa!
Ilikuwa offside ile!tumefunga refa kakataa!
Tehetehe leo inakuwaje mnyama kapakatwa mapeeeema!!!!
Moja bila, simba tuko nyuma!Maendeleo wadau.....
Inawezekana kabisa...Vp tena mnyama simba kageuka paka! Haya sasa pigeni 4-1 mpite au 3-1 mpigiane penati
Leo ndio leo asiye na mwana(kandambili) abebe jiweee,
iwe isiwe lazima kombe linyakuliwee,
hii ni mechi kali ,
kati ya mnyama na timu tp wazembe,
mechi inachezwa leo jumapili tr 03/04/2011
Dakika ya 40...