Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

Goli sita kwa mpira wa Tz sahau ndugu yangu labda yatokee maajabu, na kwa nini ungoje maajabu wakati wenzako wanafanya vitu asilia??
 
Mgosi alisema atafia uwanjani hata kuzimia tu kashindwa!!Mi naona anatushambulia tu hana msaada wowote.
 
..................maaamaaaaa, haki ya Mungu, tukipigwa na simba tunaacha kabumbuuuuuu.......x2
 
Game over Simba 2 TP Mazembe 3(Aggregate TP Mazembe 6 Simba 3).

Hongereni Simba kwa kufa kiume....lol

Bye bye
 
Kuna watu wengine bwana wanaicheka Simba wakati wanatolewa na Ma bingwa watetezi huwezi kufananisha na kutolewa na Ki timu cha Ethiopia nani Tena alitolewa na timu ya Ethiopia?
 
Mpira umekwisha tp 3 simba 2 simba wametolewa kwa goli 6-3.
 
hadi sasa bao ni 2 kwa simba na mazembe 3,mpira unaendelea bado dakika 10 mechi kuisha.
 
musiseme tena kuwa mu congo kunatoka muziki pekee, biko na bingine tunawezaga
 
Ngoja tujadili kabumbu huku Jamii chat room!
 
mods kama inawezekana hiii thread iunganishei na ile kule ya simba ss
 
musiseme tena kuwa mu congo kunatoka muziki pekee, biko na bingine tunawezaga
We sokwe acha ushabiki wa kijinga, suport team ya taifa lako. unatembea na limama la kikongo unataka kuliridhisha unaishia kudhalilisha taifa zima!
 
Back
Top Bottom