Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

tunashukuru Simba kwa kutuwakilisha mpaka hapo ulipofikia, hongera sana.
 
Game over Simba 2 TP Mazembe 3(Aggregate TP Mazembe 6 Simba 3).

Hongereni Simba kwa kufa kiume....lol

Bye bye

Simba wamejitahidi sana. Bora kutolewa na club iliyocheza fainali ya ubingwa wa dunia (kwa margin ndogo kama hii) kuliko kutolewa na timu inashoshika nafasi ya 6 kwenye ligi ya Ethiopia.
 
Ni kwamba hakuna cha ajabu
Mazembe wamefanya kile ambacho wengi walikitalajia

Kwa wale wana Simba niliopata kuongea nao kabla ya mechi waliokuwa wakitegemea eti kwa vile mvua imenyesha nadhani mmepata fundisho sasa kwamba soka sio mvua. Kwa wale waliosema kwamba Simba watapata goli mbili niliwakubalia (japo kwa mashaka) lakin niliwauliza mna uwezo wa kuizuia Mazembe wasifunge??? Mkawa mnakwepa swali badala yake mnasisitiza 2 - 0 inawezekana, sasa mmejionea.

Hongera wanapewa washindi, walioshindwa wanapewa pole.
Hongereni TP Mazembe, mmedhihirisha kwamba nyie ni Mabingwa wa ukweli wa soka Afrika
Nawatakia safari njema ya kutetea ubingwa wenu
Poleni Simba, mjifunze kwamba soka ni viwango na kufanya maandalizi, na wala sio kuongea tu.
 
Kuna watu wengine bwana wanaicheka Simba wakati wanatolewa na Ma bingwa watetezi huwezi kufananisha na kutolewa na Ki timu cha Ethiopia nani Tena alitolewa na timu ya Ethiopia?

Kutolewa ni kutolew tu muraaaaaaaa,hakuna cha Yanga kutolewa na kitimu cha Ethiopia wala nn........Poleni sana watani,welcome to the world....
 
Am so surprised kuona baadhi yetu eti wanashangazwa na matokeo haya.

Baadhi yetu huko nyuma tulisema (na ndio ukweli):
1. there's a massive gulf in quality btn the 2 sides. Siongelei kupasiana kwani hata Arsenal na Virareal wanaweza sana!
2. inahitaji sanity check kwa yeyote aliyefikiria eti akina Nyoso watawasimamisha TPM
3. Rage anachangia sana kupoteza focus kwa porojo zake za ki-CCM
4. porojo za Rage zinaweza hata kuwakosesha Simba ku-retain VPL title
 
Simba wamejitahidi sana. Bora kutolewa na club iliyocheza fainali ya ubingwa wa dunia (kwa margin ndogo kama hii) kuliko kutolewa na timu inashoshika nafasi ya 6 kwenye ligi ya Ethiopia.

Goli ni goli tu muraaa.....Liwe la bafuni,chooni,jikoni,chumbani.......ni goli tu.......Kubalini kufungwa,msianze mambo ya oooh bora sisi tumetolewa na TPM na Yanga wametolewa na Ethiopia........Hivi mlitegemea mngewatoa Les Tout Puisant Mazembe Englebert bana ba Lubumbashi????...........Thubutuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!
 
Simba wamejitahidi sana. Bora kutolewa na club iliyocheza fainali ya ubingwa wa dunia (kwa margin ndogo kama hii) kuliko kutolewa na timu inashoshika nafasi ya 6 kwenye ligi ya Ethiopia.

Du ushabiki kweli ni ugonjwa. Ananikumbusha jamaa aliyejisifia kwa kugongwa na benzi wakati mwenzie kagongwa na starlet, wote majeruhi.
 
Goli ni goli tu muraaa.....Liwe la bafuni,chooni,jikoni,chumbani.......ni goli tu.......Kubalini kufungwa,msianze mambo ya oooh bora sisi tumetolewa na TPM na Yanga wametolewa na Ethiopia........Hivi mlitegemea mngewatoa Les Tout Puisant Mazembe Englebert bana ba Lubumbashi????...........Thubutuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!

Balantanda, hapa issue ni nani kaaibisha zaidi ya mwenzake ... na jinsi historia itakavyoandikwa
 
Am so surprised kuona baadhi yetu eti wanashangazwa na matokeo haya.

Baadhi yetu huko nyuma tulisema (na ndio ukweli):
1. there's a massive gulf in quality btn the 2 sides. Siongelei kupasiana kwani hata Arsenal na Virareal wanaweza sana!
2. inahitaji sanity check kwa yeyote aliyefikiria eti akina Nyoso watawasimamisha TPM
3. Rage anachangia sana kupoteza focus kwa porojo zake za ki-CCM
4. porojo za Rage zinaweza hata kuwakosesha Simba ku-retain VPL title

True kabisa. Rage anawapoteza, kila kitu anataka yeye, mara uongozi tff, Uenyekiti tff mkoa tabora, Ubunge, Uenyekit simba: Mshika manne matatu humponyoka. Simba fanyeni Uchaguzi wa mkiti, jamaa atawalostisha. JK alimshauri mapema.
 
Balantanda, hapa issue ni nani kaaibisha zaidi ya mwenzake ... na jinsi historia itakavyoandikwa

Yaani Simba kagongwa na BMW kafa, Yanga kagongwa na Bajaj kafa.
Nani kafa kifo kizuri????

Tuachane na mambo ya kiingiza Yanga na matokeo yake, kabla ya mechi mbona hawakuingizwa.
Sema sisi sote Tanzania soka bado
 
Balantanda, hapa issue ni nani kaaibisha zaidi ya mwenzake ... na jinsi historia itakavyoandikwa

Historia ipi mkuu......Ya kufungwa 3 ugenini na 3 nyumbani ama?............Ndio zile habari za kusema kwamba fulani kagongwa na gari aina ya Starlet na mwingine kagongwa na Benz wote wakajeruhiwa vibaya halafu yule aliyegongwa na Benz aanza kumcheka aliyegongwa na Starlet na kujigamba yeye yu bora zaidi(kwa vile kagongwa na Benz)....... sana Dazu kwa mfano wako mzuri huu
 
Poleni SSC kwa kibano! Subirini ushindi wa mezani kutoka CAF.
Nijuavyo mimi hata kama TP wakifungiwa faida itaenda kwa timu watakayo kutana nayo next round, kwani simba imetolewa tayari
 
True kabisa. Rage anawapoteza, kila kitu anataka yeye, mara uongozi tff, Uenyekiti tff mkoa tabora, Ubunge, Uenyekit simba: Mshika manne matatu humponyoka. Simba fanyeni Uchaguzi wa mkiti, jamaa atawalostisha. JK alimshauri mapema.
we wee,si heri rage anashika manne lakin sio nchunga anaharibu timu,kila siku ni vurumai tu clabun,mfukuzen huyo jamaa,msipojiangalia mtabak mnaongea wee,lakin tmu inaoza,fukuza nchunga,tafta wadhamin madhubuti!
 
wabongo tuna tatizo moja, tunadhani Simba alipofikia na kupapongzwa na kuandika vichwa vya habari eti "Simba yafa Kiume" huu ni upuuzi ambao tunao miaka nenda rudi, juzijuzi kuna mdau mmoja wa Simba (sijui kama ni mdau kweli wa wa kibiashara) anaitwa Azim Dewji alikua akilaani simba kukataliwa ombi lao la kuhairishiwa mechi na kagera sugar, akaenda mwali na kusema simba na yanga bila wao TFF haipo. Huyu mtu aliuza mechi ya fainali ya Stella na Simba baada ya kuona atatakiwa kutoa KIA kwa timu nzima, leo hii anajidai anamchungu na kuipenda club na sisi mashabiki tunamshadadia, hii sio sawa. Soka la bongo haliwezi kukuzwa na simba na yanga pekee, Dewji alipaswa na anapaswa kupuuzwa, soka letu linahitaji kuangaliwa kwa mapana yake...tutabakia na heading za kujipa matumaini but hamna kitu tunaangamia, toka enzi ya mwinyi tulikua kichwa cha mwenda wazimui na tutabaki kuwa hivyo mapaka pale tukakapo amua club haziwexi songa mbele kwa kutegemea friends of simba, Dewji, Gulamali (R.I.P), bakhresa, manji na wengineo. Soka inatakiwa kufikiriwa beyond that, tatizo letu tunaruhusu club zitawaliwe na wanachama ambao hawana maono ya wapi wanataka kwenda na ndo maana simba kumfunga yanga au yanga kumfunga simba ni Big deal, hatutafika hata kidogo, soka ni biashara na asiyejua aangalie mataifa ya watu, tutaishia kusema brain washed but the truth is there
 
True kabisa. Rage anawapoteza, kila kitu anataka yeye, mara uongozi tff, Uenyekiti tff mkoa tabora, Ubunge, Uenyekit simba: Mshika manne matatu humponyoka. Simba fanyeni Uchaguzi wa mkiti, jamaa atawalostisha. JK alimshauri mapema.

Umesahau pia kwenye Jumuiya ya Wazazi Tabora yumo ama alikuwemo...!!
 
Poleni SSC kwa kibano! Subirini ushindi wa mezani kutoka CAF.
Nijuavyo mimi hata kama TP wakifungiwa faida itaenda kwa timu watakayo kutana nayo next round, kwani simba imetolewa tayari

kwa kanuni ipi...
 
Back
Top Bottom