Sijui bangi gan kavuta
hahahaha! Haswaaaa!!
Simba mmejitahidi kuloga
Mods naombeni mfungulie KITOABU japo kwa dakika hizi zilizo baki tu aje aone Mnyama anavyo fanya yake kisha mrudisheni gerezani.
tano hazipo mbali....
Kaseja leo katuuza this time aondoke kabisa hana tena ubunifu golini
Kaseja mpuuzi kweli yaani.
Raha sana kuishabikia Simba F.C.
Ah Kiongozi, Upo?
Yaani kaboa kishenz.....kama karogwa!!!
dah! Sjui nakatzaje mtaani kama mambo yataendelea hivi
Hivi yule aliyepokelewa airport kwa mbwembwe ameingia kweli, mbona haonekani?