Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Sina shaka kabisa matokeo nayapata hapa

Simba Sports Club vs Yanga Sports Club

Tuvumiliane ndiyo haki ilivyo,ndgzangu maana haki inachomachoma. Mmh ndy ukweli Yanga imepigwa 3 o'clock
 
Wataalamu wa soka naomba kuuliza ivi kenye soka sheria ya manunuzi ya umma haitumiki? Maana naona magolikipa wa timu zote mbili ni used
 
dah! Sjui nakatzaje mtaani kama mambo yataendelea hivi
 
Back
Top Bottom