Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa simbaaaaaaaaa oh mamama
Pole Kaseja kama hujafukuzwa kweli, ngoja tuone.
hahaaa kaseja leo wanamnyonya macho haki ya mungu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa simbaaaaaaaaa oh mamama
Pole Kaseja kama hujafukuzwa kweli, ngoja tuone.
Viwango vya wachezaji wa Bongo huwa vinapanda na kushuka mechi hadi mechiHuyu Amri Kiemba ni wa Ulaya kabisa..Sijui kwa nini bado yupo Bongo
La tatu...
Ujue najisikia uchungu sana,halafu kaseja anafanya makusudi huyu mtu mimi nasemaga kila siku ni simba damu kwanini match kama ya leo asipigwe chini?
Gamba wewe ndio mnaoitia mikosi timu yetu, rangi ya njano imelaaniwa mpaka mbinguni.
Updates:
Hadi Mapumziko: Simba 2 - 0 Yanga
Dk 50: Simba 2 - 0 Yanga
Dk 63: Simba 3 - 0 Yanga