Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ujue najisikia uchungu sana,halafu kaseja anafanya makusudi huyu mtu mimi nasemaga kila siku ni simba damu kwanini match kama ya leo asipigwe chini?
Kwahiyo na washambuliaji wako kina Okwi ni Simba ndio maana hawafungi?
Ukiwa CCM hadi ubongo unaoza.