Yupo uwanjani huyo.Wanaonyesha chaneli gani?
kwanini mkuu kafanya nini tena...Kuna mchezaji anaitwa Gamal....sina imani nae!
mandla enheee...Yupo uwanjani huyo.
Mnyama gani? Punda ama Farasi?mimi ni mnyama ila leo kiutanzania natamani waarabu wapigwe nyingi tu
mpaka waongea hivyo wenzio wanakosa kosa tu migoli..yanga wajitahidi leo anga
lau washinde kama tukifungwa misri na kutolewa potelea mbali ila h
apa home tujitoe kimasomaso
Bin AdamuMnyama gani? Punda ama Farasi?
itakuwa wakuchora kama wapale makumbushoMnyama gani? Punda ama Farasi?
yanga wanakosakosa tu hapa...
bado tu...?
nahisi watabadilika kipindi cha pili maana washaisoma mpaka sasa..Dk ya 42 bila bila. Hawa waarabu wanatafuta droo..
Mnyama gani? Punda ama Farasi?
shukuru tu mkuu kuna jf utapata matokeo..
Dk 33 yanga 0 - 0 al ahly
ila hayo magoli kina kiiza wanayokosa tutayajutia oohoo...Tunacheza na timu bora Mkuu, usitegemee magoli rahisi.
itakuwa wakuchora kama wapale makumbusho