LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

Kazi nzuri Yanga. Nawatakia kila la heri.
 
matatizo hayapo kati ya Azam na Yanga kama taasisi bali mtu mmoja mwenye nguvu ndani ya Yanga
...watanzania' tumeambiwa tuwe wazalendo!
 
Al ahly wanafanya mabadiliko. kaingia Mahmoud Ibrahim
 
...mbao ni sifuri kwa sifuri
 
Chupa zinarushwa hapa uwanjani..hili ndio tatizo la viroba.
 
heshima kwenu wadau wa soka wengine tuko mbali na tv mtujuze matokeo ya mechi,asanteni
 
dk 20 kipindi cha 2;


Yanga 0-0 Al Ahly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…