Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Kazi tunayo sasa.
Yanga watakwenda kupigwa nne bila misri.
yanga mwenzio lakini mbona hivo yakheee...Mwenye hiyo picha kuna siku aliniuzi sana. Ila nikaja kugundua ni MSHAMBA flani.
one luv my dear umetishaaa..Hahaahahaaaaa ahsante.
hata azam alishinda nyumbani pia..Kazi gani mnayo sasa?
Nyie Azam na Simba si ndio mlikuwa mnaombea Yanga ifungwe leo mpate cha kuongea?
Mwenye hiyo picha kuna siku aliniuzi sana. Ila nikaja kugundua ni MSHAMBA flani.
hata azam alishinda nyumbani pia..
mkuu pole sana na majukumu maana sijakuona kabisa leo...Watu wengine sijui mna laana!..
Hivi hamuoni aibu?..
Kwani Yanga hawajafunga goli?..
Rage anawaharibu sana nyie, huko nyuma hamkuwa hivyo..haishangazi hamjashiriki mashindano ya CAF mara mbili mfululizo na mnaelekea mara ya 3
Mpira wa miaka hii sio sawa na wa mwaka 47
Al Ahly anaweza akafungwa hata kwao Cairo..
Mbeya city??
Hilo Linajulikana, Yanga Michezo Yao Wanachezea Kwenye Magazeti
Naona Mmepata La Kujifariji
Wiki Nzima Wataongea Sana
mandieta kasema hamtaongea sana ila naona ndugu unaongea sana baada ya gemu lakini sio mbaya tusubirie second leg ili muongee vizurii..Na Azam sio Yanga...Ni timu mbili tofauti..
Ingawa Azam=Simba=Failures=losers