Wamejiogesha bupu hao, wakifika Cairo wanakula week.
yanga mwenzio lakini mbona hivo yakheee...
Hilo Linajulikana, Yanga Michezo Yao Wanachezea Kwenye Magazeti
Yanga watakwenda kupigwa nne bila misri.
tatizo hasira za pm mnaleteana hadi huku sport huku hamnaga hizo ni kucheka na kuchekwa basi...Yaani huyo ana matatizo makubwa nimemsamehe bure. Yeye ndio alinianza kwenye siasa nikamchunia.
Akanifata tena mara ya pili nikamjibu, hee mpaka leo ananifata uwiiiii.
Leo na raha zangu hapa Yanga imeahinda yeye tu.
one luv my dear umetishaaa..
tatizo hasira za pm mnaleteana hadi huku sport huku hamnaga hizo ni kucheka na kuchekwa basi...
Mbona sijaongea sana Chifu?, ama kukueleza tofauti ya Yanga na Azam/Simba ni tatizo?mandieta kasema hamtaongea sana ila naona ndugu unaongea sana baada ya gemu lakini sio mbaya tusubirie second leg ili muongee vizurii..
Bao la uchawi nendeni cairo
Bao la uchawi nendeni cairo
Huu Ndio Ukweli Wenyewe
Lakin Unauma. Yanga Hata Wakafanyie Mazoezi Sayari Nyingne Kipigo Kipo Palepale
mandieta kasema hamtaongea sana ila naona ndugu unaongea sana baada ya gemu lakini sio mbaya tusubirie second leg ili muongee vizurii..
Poa tu!mbona wengine huwa wanajifariji na uhai cup,mtani jembe cup,captain komba cup,mapinduzi cup na mengine kama hayo!
Yanga 1 (Al Ahly+Azam+Simba) 0
Yanga Wanaongea Sana.
Mlizoea Kuwafunga Vbonde Wenzenu Haya Wafungeni Na Hawa Sasa