LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

yanga mwenzio lakini mbona hivo yakheee...

Yaani huyo ana matatizo makubwa nimemsamehe bure. Yeye ndio alinianza kwenye siasa nikamchunia.
Akanifata tena mara ya pili nikamjibu, hee mpaka leo ananifata uwiiiii.
Leo na raha zangu hapa Yanga imeshinda yeye tu.
 
Yaani huyo ana matatizo makubwa nimemsamehe bure. Yeye ndio alinianza kwenye siasa nikamchunia.
Akanifata tena mara ya pili nikamjibu, hee mpaka leo ananifata uwiiiii.
Leo na raha zangu hapa Yanga imeahinda yeye tu.
tatizo hasira za pm mnaleteana hadi huku sport huku hamnaga hizo ni kucheka na kuchekwa basi...
 
mandieta kasema hamtaongea sana ila naona ndugu unaongea sana baada ya gemu lakini sio mbaya tusubirie second leg ili muongee vizurii..
Mbona sijaongea sana Chifu?, ama kukueleza tofauti ya Yanga na Azam/Simba ni tatizo?
 
mandieta kasema hamtaongea sana ila naona ndugu unaongea sana baada ya gemu lakini sio mbaya tusubirie second leg ili muongee vizurii..

Huyo mwoga tu anasubiri washinde ndo ajitokeze na majigambo yake.
 
Back
Top Bottom