Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kinyume chake.Al halY 3 yaNgA 0
Wote wehu tu hao, Mkuu.Yanga si kama simba koko mkuu.
Kwa niaba ya wanayanga wa humu ndani,Tatizo haojamaa wakishinda patakua hapakaliki watajiona tayari washachukua ubingwa na wanauwezo wakucheza hata na Real Madrid. Ili niwaunge mkono kwanza waahidi hawatajisifu na kutusumbua kwa makelele yao humu, lasivyo "Wabigwe" tu.
kinyume chake.
Tatizo haojamaa wakishinda patakua hapakaliki watajiona tayari washachukua ubingwa na wanauwezo wakucheza hata na Real Madrid. Ili niwaunge mkono kwanza waahidi hawatajisifu na kutusumbua kwa makelele yao humu, lasivyo "Wabigwe" tu.
Kwa niaba ya wanayanga wa humu ndani,
Naahidi kwamba hatutajisifu ata tukimpiga mwarabu koko wiki.
Cc Masuke ndetichia Revocatus Kashaga ACCOUNT FULL watu8 ndomyana Makoye Matale Baba V Katavi kbm
Kufungwa ni Kufungwa tu wala haijashi umefungwa na nani.Sawa tutaBigwa kama mlivyoBigwa nyinyi na wamachinga.
Kuna kiumbe kinaitwa MANDIETA hakichelewagi kuja na madebe humu,sasa bora wapasuke atafute pakwenda kupigia kelele na madebe yake.
Nawatakieni kila la heri lakini kushinda wiki ni ndoto ya mchana.Kwa niaba ya wanayanga wa humu ndani,
Naahidi kwamba hatutajisifu ata tukimpiga mwarabu koko wiki.
Cc Masuke ndetichia Revocatus Kashaga ACCOUNT FULL watu8 ndomyana Makoye Matale Baba V Katavi kbm
Mkuu hakuna aliyeweka ahadi ya ban?Hahahahahahaha!ebu tutafutane baada ya game kaka.
dah!huyu Rage jamani,mbona anapunguza majembe ya maana humu ndani loh!Haya mambo ya mpira mimi siku hizi sina hamu nayo kabisa, nashukuru siku ya JKT Ruvu sikuwa na access na internet wala TV wala radio na matokeo nilikuja kuyapata usiku kabisa kwa sms la sivyo ningekuwa live JF sijui ingekuwaje.
Kuhusu mechi ya leo kiukweli yeyote atakayeshinda sawa tu na wala sitashabikia timu yoyote.
Nawatakieni kila la heri lakini kushinda wiki ni ndoto ya mchana.