CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Mkuu hakuna aliyeweka ahadi ya ban?
sijaiona ahadi yoyote mkuu.Kama vp ngoja mie nijitose lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hakuna aliyeweka ahadi ya ban?
Kwa niaba ya wanayanga wa humu ndani,
Naahidi kwamba hatutajisifu ata tukimpiga mwarabu koko wiki.
Cc Masuke ndetichia Revocatus Kashaga ACCOUNT FULL watu8 ndomyana Makoye Matale Baba V Katavi kbm
Majina ya Kizaramo hayatumiki ovyo bila ya kujua undani wake kwanza. Kama hili la Akilimali. Jina kamili (ingawa sio halisi) ni Akilimali Kwamwenyenazo. Wale wote wanaoishia kuipa Yanga taswira ya huyu mzee, watakuwa wamepigika na jina la huyu mzee!Mzee Akilimali sijui leo itakuwa vip??
timu ya ccm na serikali inacheza leo ipende nchi yako
we heard you nigga..
dah!huyu Rage jamani,mbona anapunguza majembe ya maana humu ndani loh!
WATANZANIA WOTE TUWEKE ITIKADI, DINI NA VYAMA VYETU PEMBENI TUUNGANE KWA PAMOJA KUIOMBEA NA KUIPA YANGA SAPOTI SIKU YA LEO INAPOPAMBANA NA AL HALY! MIMI BINAFSI NITAKUWA UWANJANI NA JEZI YANGU NYEKUNDU YA SIMBA NIKIWASHANGILIA DAR YOUNG AFRICANS KUONYESHA UZALENDO KWA TIMU HII YA TANZANIA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI DAR YOUNG AFRICANS Makoye Matale, watu8
umeomba na hakika utapewa,weka contact zakoMukifikisha idadi hiyo ya magoli naomba nipewe pumziko la mwezi mzima segerea.
Ugumu kwa Yanga ni kufuzu kwa raundi ijayo lakini kushinda leo siyo issue. Maadui wote wa Yanga washangilieni hao wapenga kamasi tuwapige pamaja nanyi. Tutashinda bila ya sapoti ya Simba na wenzake. Post hii inafuta ahadi ya mandieta, tukishinda lazima tuwazomee wote waliokuwa upande wa Al Ahly.