LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

Nadhani kosa liko kwa wanausalama wetu. Kama hakuna arrests zilizofanyika, jeshi la polisi linapaswa kulipa fidia.

D_bUCXtoAt6E9Wmrs3esPLJ3df_crBVo025N83LwjwBd_A4EfjLfWaDo-ttUVZLsGy-LiktZxTf8xFk91efAPMZsMFt7S7spvQezLrLiIxv8WMqvD7bob0hKqHr4GYZ-gjnMYaTZ8XdixnpTNqjV5ivvDLIpedWjfu4=s0-d-e1-ft

Polisi wakiamua kufanya kazi yao watawakamata wote hawa wahuni wa Simba
 
Kuna mwaka walikuja hapa Highlanders wa Zimbabwe walitoka 3-3 na Yanga wakashangilia kuwa wamepeta, second leg pale Harare Yanga waliibuka na Total Football na kuwacharaza 2-0 hadi mapumziko, wakafanya madhambi refa kaonesha penati wakaweka mpira kwapani na gemu likaishia hapo. Tunakwenda Cairo kutafuta ushindi, hatutalinda hako kagoli, tutacheza kufa na kupona kwa matarajio kuwa tukifunga bao hata moja ugenini lina mashiko makubwa. Kaeni na fyekeo zenu, sisi tunacheza mpira.

Hayo ni maneno tu ya nje wa uwanja,tumia AKIL bab mmeshindwa kushusha mvua za magoli hapa leo mkashinde misr,misr ha ha ha bora ingekua nchi nyngne lkn sio misr,nyie mmeifunga comoro goli 7 af mnachukua maisha mseleleko tu,ndan ya misr hamtok Abadan ,hamuwajui waaarab nyie,waulizen simba.afteral yanga hamna historiyah bab ya mech Kama iz,km mmeshindwa hapa kutia hata goli2,ujue mpo nje sema ofcoz lazma kujipa hope, bt wenyekujua mpira wameshaona halis,
 
mkuu, mm walinikera sana yani...wao hasira kidogo wanahamishia katika viti, kweli hali ikiendelea hv serikari inaweza kuzuia uwanja wake.
Serikali kuzuia uwanja wake haitowezekana, wakiuzuia waufanyie nini? Wachezee gwaride?
 
Hayo ni maneno tu ya nje wa uwanja,tumia AKIL bab mmeshindwa kushusha mvua za magoli hapa leo mkashinde misr,misr ha ha ha bora ingekua nchi nyngne lkn sio misr,nyie mmeifunga comoro goli 7 af mnachukua maisha mseleleko tu,ndan ya misr hamtok Abadan ,hamuwajui waaarab nyie,waulizen simba.afteral yanga hamna historiyah bab ya mech Kama iz,km mmeshindwa hapa kutia hata goli2,ujue mpo nje sema ofcoz lazma kujipa hope, bt wenyekujua mpira wameshaona halis,
Kumbe mwenzangu unakaa ukiota mambo ya kale? Mpira siyo Physics wala Math, tukutane jumapili ijayo.
 
Hayo ni maneno tu ya nje wa uwanja,tumia AKIL bab mmeshindwa kushusha mvua za magoli hapa leo mkashinde misr,misr ha ha ha bora ingekua nchi nyngne lkn sio misr,nyie mmeifunga comoro goli 7 af mnachukua maisha mseleleko tu,ndan ya misr hamtok Abadan ,hamuwajui waaarab nyie,waulizen simba.afteral yanga hamna historiyah bab ya mech Kama iz,km mmeshindwa hapa kutia hata goli2,ujue mpo nje sema ofcoz lazma kujipa hope, bt wenyekujua mpira wameshaona halis,

hahaha..hiki ni lugha gani?..nimeshindwa kukuelewa kama nisivyowaelewa mikia..aka wavunja viti
 
Back
Top Bottom