ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,984
- 360
Hivi hii mechi inaanza saa ngapi, saa tisa au saa kumi?
mkuu, tiket yangu hapa inanionyesha ni saa kumi kamili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hii mechi inaanza saa ngapi, saa tisa au saa kumi?
YANGA Watatolewa kwenye hii hatua. Wanapoteza muda tu.
mkuu, tiket yangu hapa inanionyesha ni saa kumi kamili.
Wana raha gani wakati Maharage kilakukicha anawazogoa tu.Wapenzi wengi wa Mikia wameanza kupotea hapa jukwani mf. Saint Ivuga, Crashwise na sasa Masuke; huyu wa mwisho angalau anaonekana mara moja moja.
Wana raha gani wakati Maharage kilakukicha anawazogoa tu.
Samba la Vandame au? We ngoja ule zako 3 urudi kwenye ligi yetu ya majungu tu.kweli kabisa, watani leo watushangilie tu, wakigoma tunawapigia samba watatusapoti wenyewe
Leo mtoto hatumwi dukani, Natamani kikosi cha Yanga (Tanzania) kiwe hivi: Na wewe unaweza kupendekeza
kiwe vipi, haya ni mawazo yangu:
1. Deogratius Mushi
2. Nadir Haroub
3. Oscar Joshua
4. Mbuyu Twite
5. Kelvin Yondan
6. Frank Domayo
7. Athumani Idd
8. Haruna Niyonzima
9. Didier Kavumbagu
10. Emanuel Okwi
11. Mrisho Ngassa
SUB:
1.Tegete,
2.Simon Msuva
3.Juma Kaseja
4.
5.
Nilijiandaa kukupa LIKE nikasahau kuwa natumia ya touch.
Amia Azam, Mkuu. Au umekunywa maji ya bendera kama ACCOUNT FULL na yebo yebo yake?Mkuu timu yetu inasaidiwa na ukongwe tu la sivyo mwaka huu ingeshuka daraja kabisa na pengine kupotea kwenye ligi kuu moja kwa moja kama vile Pilsner, Palsons ya Arusha, Ujenzi, na zingine nyingi zilizopotea.
Amia Azam, Mkuu. Au umekunywa maji ya bendera kama ACCOUNT FULL na yebo yebo yake?
Leo mtoto hatumwi dukani, Natamani kikosi cha Yanga (Tanzania) kiwe hivi: Na wewe unaweza kupendekeza
kiwe vipi, haya ni mawazo yangu:
1. Deogratius Mushi
2. Nadir Haroub
3. Oscar Joshua
4. Mbuyu Twite
5. Kelvin Yondan
6. Frank Domayo
7. Athumani Idd
8. Haruna Niyonzima
9. Didier Kavumbagu
10. Emanuel Okwi
11. Mrisho Ngassa
SUB:
1.Tegete,
2.Simon Msuva
3.Juma Kaseja
4.
5.
Mungu jaria Yanga afungwe magori ya Aibu