LIVE: YANGA SC Vs IHEFU FC

LIVE: YANGA SC Vs IHEFU FC

Kuna mechi inayoendelea saizi kati ya KMC na Majimaji

KMC wanacheza vizuri kuliko yanga, sometimes bora tuwe tunaweka updates kwenye mechi kama hizo kuliko kumuangalia mayele akijiangusha peke yake kwenye box
Anacheza na timu ya First league mzee ulitaka napo acheze vibaya?
 
Utopolo huwa Wanaanza Msimu kwa Shangwe!! Furaha Za WanaUtopolo huwa Zinaanzaga Kufikia Mwisho Tarehe Kama hizi Kuelekea Januari Kila Mwaka...! Ngoja leo tuone..!
 
Waoga sana hawa mbuzi, wamefunga full mziki [emoji23]
 
Hivi kama tbc hawawezi kutangaza mpira kwenye radio walichukua ya nini haki ya matangazo? Au ni kwa ligi kuu tu
 
Kwenye nafasi 50 za kufunga, makambo anaweza kufunga goli 1 au 2
 
Hawa NGURUWE kumbe waoga kiasi hiki.

Yani hadi IHEFU munawapangia full squad?

HAKUNA KIKOSI KIPANA HAPA.
Vuta picha yule beki wa JKT angekuwa makini na ule mpira usingemgonga mgongoni. Mechi ingekuwaje jana?
 
Back
Top Bottom