Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

naona wacha anajisaidia baada ya kuugua tumbo

We played poorly in teh second half and suarez amechoka mno na hakua na summer... but he scored

Liverpool needs to drop carrol... they are very predictable with him
 
MTM we wacha mie nilitegemea Kelly atakipiga Kulia baadae Maxi angekuwepo kwenye dk za 75 angemuweka winger ya kushoto Caroll hafai kabisa lasivyo tutarudi yale ya zamani bora hata Crouch alivyokuwepo ya kuanza kupiga juu kama dk 1 ya mpira imebakia kisa caroll mrefu. Liverpoolfc na wasiwasi wa comolli kuja kupingana na Kenny. Lucas ndio kacheza vizuri kwa maoni yangu ukitowa Suarez, Reina alikuwa anatamani aende yeye mbele kule.
 
MTM we wacha mie nilitegemea Kelly atakipiga Kulia baadae Maxi angekuwepo kwenye dk za 75 angemuweka winger ya kushoto Caroll hafai kabisa lasivyo tutarudi yale ya zamani bora hata Crouch alivyokuwepo ya kuanza kupiga juu kama dk 1 ya mpira imebakia kisa caroll mrefu. Liverpoolfc na wasiwasi wa comolli kuja kupingana na Kenny. Lucas ndio kacheza vizuri kwa maoni yangu ukitowa Suarez, Reina alikuwa anatamani aende yeye mbele kule.
King Kenny anatakiwa aongeze another striker wa ku-compete na Carrol. La sivo itakuwa yale yale ya wakati wa torress akichemsha basi ushambuliaji unakuwa butu. Maxi is a good sub
 
I dont think Liverpool needs another striker, Suarez and Kuyt could do that...
 
i dont think liverpool needs another striker, suarez and kuyt could do that...

sikubaliani na hilo, kuyt ndio striker ndio anahangaika tatizo lake ball control ni mbovu lazima tukubali sie kama liverpoolfc bila kuleta ubishi kwenye ubingwa tutoe tujitahidi nafasi ya 3 tumeanguka ya 4. Man u mie still naona ndio watakuwa mabingwa sio sababu wameshinda game ya kwanza. Pia na wasiwasi wa comolli na kenny kuja kugombana.
 
I wish Carrol asianze kesho

He kills all the good liverpool moves
 
MTM umeongea Kweli anaruka ruka tu na anasababisha sehemu ya kuingia apigie pira la juu yeye... Kesho napenda iwe hivi listi

-------------------------------------------Reina---------------------------------

Johnson/Kelly---------Carra-----------Agger----------------------Enrique

-------------------------------------------Lucas-------------------------------------------

Kuyt--------------------------Aqua Man--------Adam-------------------Downing

Suarez
 
I wish Carrol asianze kesho

He kills all the good liverpool moves

MTM umeongea Kweli anaruka ruka tu na anasababisha sehemu ya kuingia apigie pira la juu yeye... Kesho napenda iwe hivi listi

-------------------------------------------Reina---------------------------------

Johnson/Kelly---------Carra-----------Agger----------------------Enrique

-------------------------------------------Lucas-------------------------------------------

Kuyt--------------------------Aqua Man--------Adam-------------------Downing

Suarez


Hahahahaha!! Wakati mnalipa zile 35m mlikuwa mnachonga sana kwamba kifaa, sasa ndio mmegundua!! Naamini Torres angekuwa bado Liverpool angeanza mbele ya Carrol....mmoja ni proven world-class na mwingine ni championship-class.
 
Hahahahaha!! Wakati mnalipa zile 35m mlikuwa mnachonga sana kwamba kifaa, sasa ndio mmegundua!! Naamini Torres angekuwa bado Liverpool angeanza mbele ya Carrol....mmoja ni proven world-class na mwingine ni championship-class.
katatueni matatizo yenu kama ya shirika la uda

mmeishia kuweka rehani timu

BTW umepima afya yako, maana hali yenu ni kama tumbaku ya morogoro
 
Hahahahaha!! Wakati mnalipa zile 35m mlikuwa mnachonga sana kwamba kifaa, sasa ndio mmegundua!! Naamini Torres angekuwa bado Liverpool angeanza mbele ya Carrol....mmoja ni proven world-class na mwingine ni championship-class.

ndio maana torres was 15M more expensive let alone salary requirements

rationale ya carrol ilikua nzuri sana, and chelsi were the losers

Business na NC was anything torres cost - 15M so of torres would 20 then AC would cost 5M

It was a rational business decision

BTW, carrol is better than torres for now.. but i dont like him coz the whole team is very fast except him
 
katatueni matatizo yenu kama ya shirika la uda

mmeishia kuweka rehani timu

BTW umepima afya yako, maana hali yenu ni kama tumbaku ya morogoro


Timu gani hiyo unaongelea?!!!!
 
ndio maana torres was 15M more expensive let alone salary requirements

rationale ya carrol ilikua nzuri sana, and chelsi were the losers

Business na NC was anything torres cost - 15M so of torres would 20 then AC would cost 5M

It was a rational business decision

BTW, carrol is better than torres for now.. but i dont like him coz the whole team is very fast except him

Time will tell nani alifanya business nzuri. Lakini nafikiri ni safe kufikiri Torres atarudi kwenye form yake kuliko AC kubadili style yake ya long balls!
 
Tangu mwanzo sikuamini kama Carrol anatufaa, lkn nadhani anaweza kufundishwa na akafaa. Chelsea imeshakariri kusajili wachezaji wazee, kama Torres atarudia kiwango chake Carrol naye anaweza kupigwa msasa na akang'aa, hata umri wake unaruhusu. Na ikitokea Mr. Liverpool SG apone mapema na awe kwenye form mabao yatatoka kila upande hata kama AC atakuwa amefulia..
 
2:45pm ya kesho! Wapenzi wote wenzangu wa L'pool Fc msiwe mbali na Super Sport 3 Live! Baina ya hawa wachovu season hii Arsenal Fc! Naombeni 2weni pamoja! Luisz Suarez, D. Kuyt na Raul M wote ndani ya vest eleven! Pjtachimbika hapo Emar,,,,ets!
 
Tangu mwanzo sikuamini kama Carrol anatufaa, lkn nadhani anaweza kufundishwa na akafaa. Chelsea imeshakariri kusajili wachezaji wazee, kama Torres atarudia kiwango chake Carrol naye anaweza kupigwa msasa na akang'aa, hata umri wake unaruhusu. Na ikitokea Mr. Liverpool SG apone mapema na awe kwenye form mabao yatatoka kila upande hata kama AC atakuwa amefulia..


Kwa hiyo unataka kuniambia kwamba akina Poulsen, J. Cole, Kyrgiakos, Downing, Maxi, Meireles, Jones na Doni wote wamekuja Loserfool wakiwa "vijana" kwa definition yako?
 
Tangu mwanzo sikuamini kama Carrol anatufaa, lkn nadhani anaweza kufundishwa na akafaa. Chelsea imeshakariri kusajili wachezaji wazee, kama Torres atarudia kiwango chake Carrol naye anaweza kupigwa msasa na akang'aa, hata umri wake unaruhusu. Na ikitokea Mr. Liverpool SG apone mapema na awe kwenye form mabao yatatoka kila upande hata kama AC atakuwa amefulia..


AC is an old-fashioned english number nine, hana talent yoyote, it's all about power and aerial strenght, kwa hiyo tegemea sana long balls msimu huu akiwa uwanjani....he's just a fatter Crouch!
I like SG, is a good player, lakini nafikiri muda wake umepita kama wenzie wa kule Chelsea..lol, nasikitikita kwamba ukweli ni kuwa atastahafu bila kubeba EPL.
 
AC is an old-fashioned english number nine, hana talent yoyote, it's all about power and aerial strenght, kwa hiyo tegemea sana long balls msimu huu akiwa uwanjani....he's just a fatter Crouch!
I like SG, is a good player, lakini nafikiri muda wake umepita kama wenzie wa kule Chelsea..lol, nasikitikita kwamba ukweli ni kuwa atastahafu bila kubeba EPL.

Unasikitika kama ma Captain wenu wanavyostahafu wote kwenye historia bila kubeba CL?????
 
watani habari zenu ... nimepewa ujumbe na wenger eti mnakikumbuka hiki kichapo..? anasema yeye bado ni kocha soccer ni ileile tu!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom