same same story over and over again.
Sijui akija nani fulani akipona, mara ooh sasa tumesajili fulani, eeh, King nani sijui ndo amerudi rasmi.?
Ninavyowajua Reds hawakawii kutuonesha maajabu hapo Wembley hiyo tar. 26.
Hongereni kwa kunifungia mwarabu though!
Hii yako hata kama umeitoa kwa bahati mbaya naipokea...! ASANTE!
Hongereni wakuu mmewaonyesha pesa sio soka .... .... ..
Waamue kunyoa sasa .. ..... ... maana walisuka.
Ni kweli maajabu yanakuja. Kombe la kwanza la msimu hilo.
Asante Mkuu.... Kila la heri kwenye Europa na ligi kuu, ila wachezaji wenu wajirekebishe vinginevyo hali yenu ya nidhamu sio nzurihongera zenu...
Asante Mkuu.... Kila la heri kwenye Europa na ligi kuu, ila wachezaji wenu wajirekebishe vinginevyo hali yenu ya nidhamu sio nzuri
Hii yako hata kama umeitoa kwa bahati mbaya naipokea...! ASANTE!
Vipi lkn, leo mbona hakuna picha?!
mkuu nahisi tutakuwa kama arsenane kushiriki ndio zetu..
Umeona eeeh? Arsenane kwa kushiriki ndo wenyewe, lakini kutwaa sifuri!
mbona hujaweka picha Mkuu?Na nyie vipi kwa kushiriki EPL 20 something years and still counting .... ... . wivu tu khekhbe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
Na nyie vipi kwa kushiriki EPL 20 something years and still counting .... ... . wivu tu khekhbe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
leo siongei sana jamaa wamepata moto baada ya kuwafunga man city mara kadhaa ila manchester united
Liverpool wamebadilika, usije kukimbia baadae
Liverpool wamebadilika, usije kukimbia baadae
Jamani matokeo vipi hadi sasa?