same same story over and over again.
Sijui akija nani fulani akipona, mara ooh sasa tumesajili fulani, eeh, King nani sijui ndo amerudi rasmi.?
Ninavyowajua Reds hawakawii kutuonesha maajabu hapo Wembley hiyo tar. 26.
Hongereni kwa kunifungia mwarabu though!
Ni kweli maajabu yanakuja. Kombe la kwanza la msimu hilo.