kisale
Senior Member
- Mar 3, 2009
- 111
- 1
Much as most of us expect a fast start by Liverpool, the tinker man RB may opt for something totally surprising....
Ni mlima mrefu kupanda lakini nina ka-imani kwamba tutapita
prediction: 3-1 and then we do penalties.... huhuhuuuu
Ni mtazamo wako!ila liver walishaingia choo cha kike tangu mechi iliyopita,mimi ni mdau mkubwa wa the blues,naamini liver watapata ushindi ambao hautatosha kuwapeleka sem-final.Mechi ya fainal ndio itatusumbua kidogo na naamini itakuwa kati ya Villareal v Chelsea.na Chelsea atakuwa bingwa.
Ndugu zetu wa Arsenal na nyie msubirie kichapo cha FA sem-final j'mosi.msimu huu the blues tunamaliza na vikombe 2.