Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...dah 🙁
MTM, FMES, QM na wengineo poleni sana aisee, bado tupo pamoja lakini...hawa kina Belo na Icadon wanajifurahisha leo kwakujua kibarua cha kesho mnh!
Matanga siku tatu, kesho msiba unahamia kwao...biashara ya majamvi inashamiri kweli wiki hii.
Mbu, kimyaaa!
Sisi tunaenda kuua kesho.....
Hiyo Prediction yako ni mashaka matupu..leo naona kutakuwa na draw ya aina yoyote ndio utabiri wangu na kesho ni mwendo wa magoli tu
...ushauri wa bure; wamdunge masindano Rio aweze kucheza, halafu Tevez acheze na Rooney, hapo kidooooooogo naweza wapa matumaini.
YE, Umeliona Goli la kusawazisha la Barcelona Vs Bayern Munich leo? ....kudadadadadeeeki wallahi, Chelsea wana kibarua kigumu Nou Camp!
Jogoo la shamba. London mji bwana.
Kwi kwi kwi kwi....poor Scousers, they can't even speak proper English!!!!
MTM ile mechi ilikuwa baada ya kushinda treble(00-01) Herning Berg alipigwa chenga na Redondo mpaka akakaa chini. Poleni watani ngoma ndio mpaka mwakani tena.
- Mambo mengine bwana sometimes inaudhi sana, yaani mitimu mikubwa kufungana magoli nane ndio nini? Ahhhhgggrrr!
- Anyways tumetolewa hands down hakuna ubishi, labda mwakani tena, Liver tunahitaji marekebisho makubwa sana, kwenye kiungo na ushambuliaji bado hatuwezi kucheza total football.
FMES!
- Mambo mengine bwana sometimes inaudhi sana, yaani mitimu mikubwa kufungana magoli nane ndio nini? Ahhhhgggrrr!
- Anyways tumetolewa hands down hakuna ubishi, labda mwakani tena, Liver tunahitaji marekebisho makubwa sana, kwenye kiungo na ushambuliaji bado hatuwezi kucheza total football.
FMES!