Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ila magoli ya Suarez matamu sana!
Hatuna presha, tufungwe, tutoe droo au tushinde hakuna mbaya! Muhimu ni kuwa tunaendeleza rekodi yetu ya kugonga mwamba! Hiyo ya Jonjo imetufikisha mara ya 31... Na bado.
 
there is only one red army. Wengine mbembwe 2. 2na carling, FA panapo uzima nalo lakwetu bado kukabidhiwa 2 mwakan top 4 lzm.
C ndo liverpool bhana.
 
there is only one red army. Wengine mbembwe 2. 2na carling, FA panapo uzima nalo lakwetu bado kukabidhiwa 2 mwakan top 4 lzm.
C ndo liverpool bhana.
Sure mkuu...
Jitihada ya timu ilizaa matunda, na hat-trick ya Suarez ilikuwa balaa...YNWA.
 
Maneno ya Gerrard kuhusu goli la tatu la Suarez alilofunga akiwa yadi 45 toka golini:
"I was just about to give him a rollicking but I ended up clapping him."
Bonge la goli, linaweza kugombania goli bora la msimu.
 
Mko wapi wanazi wa liva..........slogan yenu ya never walk alone mbona hamuitendei haki
 
Asanteni wakuu. Leo haikuwa siku yetu. Tulianza kwa namna isiyo kawaida ya Liver na tulichelewa sana kureact hata baada ya kwenda nyuma. Lakini pia napata hisia kuwa tungepata mafanikio mwisho wa msimu hivi ingeweza kuathiri timu kwa kudanganyana kuwa tuko sawa! Tuna kakombe kamoja si haba, wacheni tumalize vibaya ili wawe makini kwa usajili ujao.
 
Kwa mara ya kwanza nashawishika kwamba Big Andy ni mchezaji mzuri sana. Anahitaji tu kulishwa
 
Kwa mara ya kwanza nashawishika kwamba Big Andy ni mchezaji mzuri sana. Anahitaji tu kulishwa
Haaahaaaa! Unaona sasa, haya ndiyo nilikuwa naogopa! Sasa jiulize..., Lile goli la pili lingesimama Daglish angetuambia timu iko bomba hakuna haja ya kusajili mshambuliaji! Waache uhuni, kama Lucas atapona, waongeze mabeki wawili na mshambuliaji anayejua nyavu zilipo basi.
 
Pamoja na kutokuwepo kwa KIUNGO kongwe wa Gerrard hakika hawa chelsea hawatatoka hapa uwanja wa nyumbani.
Dk 12 bado bila ya bila.
 
Pamoja na kutokuwepo kwa KIUNGO kongwe wa Gerrard hakika hawa chelsea hawatatoka hapa uwanja wa nyumbani.
Dk 12 bado bila ya bila.
LiverpoolFC
Dakika ya 30 liverpool 3 - Chelsea 0 {Essien "og" 19, Henderson 25, Agger 28}
 
Last edited by a moderator:
Ni dk ya 30 Lvp 3 chls 0

mabao yamefungwa na Essien kajifunga,Hendrson na D. Agger
 
Pamoja na kuwa mimi ni mnazi wa Arsenal lakini leo nipo upande wa Liverpool...piga mbwa hao! waliwanyanyaseni sana
kwenye fainali ya FA three days ago....natabiri goli 6 na red card moja upande wa maloozer
 
mshikachuma

Kwanini unawachukia hivyo Chelsea? au ni sababu unatetea maslahi yenu{Kumaliza namba 3} ili kucheza Champions League?

Kweli zinaweza kuwa goli sita { ila inaweza isiwe liverpool wamekosa penalty}
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…