Kumbe ulikuja kuwanga hapa kabla ya kuchezea kichapo jijini Liverpool??! Haya sasa 'hisi' na rvp anawish angebaki Arsenal!!!Duh bao tatu na west brom is not a gd start team yake ya zamani imempa kichapo
qpr bao tano nahisi anawish angebaki swansea
Kumbe ulikuja kuwanga hapa kabla ya kuchezea kichapo jijini Liverpool??! Haya sasa 'hisi' na rvp anawish angebaki Arsenal!!!
Jamani kuna mechi yenu leo Europa league. Mbona kimya wenzetu? Msiwe hivyo
Wacha1 utaendelea mwaka wa 8 kuwa Trophyless tu Bora twenye History channel kinaangalikika na Mwaka jana hatukumaliza watupu sasa sijui History channel ni nani? wengine timu zao hata History hazina.
Wacha1 weye tena mzee wa kutokubali kushindwa Mie sio muumba naweza kusema nimekosea kauli kuonyesha kama mie sio muumba huwa nakosea, ila ukweli upo palepale Mr Trophyless kama ulivyo ukweli tupo kweli mkiani hehehe sijakataa je wewe unakataa ni Trophyless mwaka wa 7?