Hatari WBA 1 LFC 0 HT. Ngoma ipo palepale tatizo ni nani? Ni huyu Downing na hakuna Winger walioenda shule huyu Borini naye si mchezaji na Downing bado anafanya nn LFC yy na Carrol? Tulionunua ni Allen tu kama Dempsey hakuja basi tutaendelea kula mikunguto.