Kipofu kaona Mwezi! Ngoja Man u msimu ujao tunashusha nondo za World Cup wale best Kombe zote tutabeba
kashengo, acha kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo aisee..
Kwahyo kwa mtazamo wako Arsenal hamna world class player pale???
mi nyani kwani unasemaje? hivi tumeshinda tu povu limewajaa sasa tukichukua kombe itakuwaje,
my Point ni kwamba young and talented players, wanapenda kucheza kwenye league zenye ushindani mkubwa wakiwa katik umri wao sahihi wa kucheza mpira...
So the fact kwamba mtu kama Ibra kwenda kucheza PSG akiwa kwenye 30's ni kwenda kumalzia mda wake uliobak...
Kishacheza Ajax, Ac milan, Inter Milan, Barcelona...Na kishashinda almost kila kitu ktk ngaz ya Club..so hana cha kupoteza...
World class was suppose to be Ozil wengine ni Top class
Jamani ubishani uishe cha muhimu tumpe Nzi Nzi Nzi tumpe SHUKA NA KITANDA alale humu manake kucheza wamecheza LFC na CITY na Kufungwa 3-2 kafungwa Man City anaumia mwengine na mada zengine tumpende mwenzetu Nzi tumpe tu nafasi Alale humu leo arizike manake atashinda 24 hrs hehehehe Nzi with LFC we don't hate u we love you YNWA! Lete zengine uwanja wako leo.
Sasa imekuwa young and talented tena? Siyo United haiwezi kuattract top class players?
Au sasa United haiwezi kuattract young and talented players?!?
Still don't get your argument, chief!!
Maana EPL ni ligi yenye ushindani! Na United inashiriki kwenye ligi hiyo! Sasa ni unachosema?!?
Kamuulize refa pale Liverpool..sasa atakuwa ameshaoga na yupo tayari kwa kuulizwa na waandishi wa habari...
Mwaka huu referees' decisions zimekuwa upande wenu sana, bisha, ukatae ama ukubali, huo ndio ukweli..
nani ambaye amesema Man utd hawez kuatract world class player???
Nnachojua mimi hapa, tulianza kubshana kihoja kuhusu Uworld class player wa Gerrard, then tukahamie kwa fact ilyompeleka Ibra PSG
Sjaongelea sehem ambayo inasema Man utd haiwez kuatract world class player..
Nzi nasikia Man utd wanataka kuwazidi kete Tottenham na kumleta Van Gaal Old Trafford unaonaje atawarudisha juu au?
Facts zip znamfanya Ozil aonekane world Class pale Arsenal???
Ndio maana nimesema "was supposed to be" kwani wakati akiwa Real alikuwa World class bila shaka.....lakini kwa sasa ameshuka haonekani kwenye Big occasions ambapo timu inamuhitaji....
Mi siongei kinazi ndo maana hatuelewani..timu kama manure wao ROONEY,RVP na kwa mbaali De Gea hakuna World class mwingine pale
Kuna tofauti kubwa ya World class,Top class,Average, flop au Misfit...
World class players Ni shidaa.....
Giroud nashindwa ni Average au Flop au Misfit......huyu simsomi kbs mpaka leo
hivi imekuaje @Inzi wa manure aanzishe thread ya lieverpool? mods tafadhali majibu