Liverpool FC (The Reds) | Special Thread




Mkuu nayakumbuka yote hayo! Na Km isingekua game ya Mike Dean kutunyonga ubingwa ulikua wetu!

Wasamehe bure wote Mkuu! Vitendo vimejionyesha venyewe uwanjani!

Kwa Muda huu nahisi kabisa maumivu ambayo wako nayo Hawa ndugu zetu! Taratibu watazaoe na watakuja hapa tujadiliane tena!
 
Nilitaka nikusamehe lakini kwa komenti zako za kitoto kama hizi napata ujasiri wa kuendelea kukusumbua?
Umejificha wapi Mosdef?:A S 13:

CHELSEA FC ni kiboko yako..ukitaka ubingwa sasa chukua. Lakini LFC si bingwa kwa Chelsea ..onea hao watoto wenzako kina NORWICH..sisi ni kiboko yako. Sasa umehamia ATM?

🙂
 
Mkuu Ntuzu; wanahitaji kuomba 'radhi' wao wenyewe..maana huwa wakali sana hawa watu..Nafikiri unakuwa mwepesi wa kusahau..rudia kusoma komenti zao kwanza..kama ninavyofanya.

pamoja mkuu Ntuzu; ngoja tuwachangamshe kwanza.:smile-big:
 
Kombe tutawaachia; lakini pointi 3 kachukueni kwingine si kwa Chelsea FC.

 
yaani ndoto zao zimezimwa wameingia kibarua kingine.
nadhani unakumbuka jana asubuhi nilicoment kule kwenye thread letu kwamba nimesoma magazeti mengi ya England seems morinho is playing mind games,wengi wanadhani chelsea watafungwa lakini usishangae ikawa suprise.
Walitamba humu nani alijua matokeo yatakuwa mengine?
kwanza nilipokuwa naangalia game ilipokuwa half time wengi wanasema bado liverpool watasawazisha na kushinda,mpaka dk ya 70 bado wanasema watashinda,matokeo yake wakaongezewa lingine
 
"Now we can say we won both matches against
the champions. If the champion is Liverpool, we
won both matches against Liverpool; if the
champion is Man City, we won both matches
against Man City."

that's the reality that cannot be denied by anybody, not even a twit.

but don't forget that Chelsea could also win the tilte as their hopes have been revived through this fantastic win.

Jose is a football genius.
 
Mkuu Viol asatne kwa picha; lakini nakuomba ukaziweke kule kwetu CHELSEA FC thread.
Poa mkuu,kwanza jana unakumbuka tulinyimwa penati ila ya mkono?
jana nilikuwa namwogopa sana yule refa,nadhani yangefanyika makosa madogo kwenye 18 za chelsea ingekuwa penati
 
Mkuu tumecheza tukiwa na majeruhu wengi!

Eto'o, Terry, Cech, Hazard Lkn tumecheza Vzr na tumeshinda! Tatizo ni timu kutegemea baadhi ya wachezaji! Kwahiyo WAKIWA hawapo timu inaboronga!

Chelsea wana mbinu kama za UKAWA!
 





Chanting: Fans sing outside Anfield following Chelsea's 2-0 victory
over Liverpool on Sunday afternoon




Scuffle: Supporters clashed after Liverpool fans reportedly took
exception to chants about Steven Gerrard





Ugly scenes: One fan appeared to throw a punch as scenes turned ugly outside Anfield








Trouble: Police had to restrain fans after things got heated as fans left the stadium





Held back: Police act as a barricade as Liverpool fans sing and chant
outside the Anfield Road end of the stadium




Setback: Liverpool's title hopes took a severe dent as the Reds were beaten at home by Chelsea

What next?
 
Chelsea wana mbinu kama za UKAWA!
No Cech
No Terry
No Oscar
No Ramires
No Hazard
No Eto'o

No problems.


Hahahaha hao wote hawapo,hivi walikuwa wanacheza na nani?
 
Aisee...hii ipo wazi!
Chelsea-Champion league closely to be awarded.
Man City-Curling cup.
Liverpool-Closely on EPL
Arsenal-Final FA Champion! !
ManUre-Fighting for Europa
 

but at the end of the day what matters is WINNING the match. the style of playing has nothing to do a team's success.
 



Mkuu hiyo post ya Mkuu MosDef niliipinga sn alipoileta na nikampangia Kikosi chetu!

Sasa nashangaa sn kuona wao wanalilia kwa kumkosa mtu mmoja HENDERSON. eti pengo lake limeonekana!

Ebu wajiulize ni wachezaji wangapi sisi walikua nje ambao ni wazuri na tegemezi kabisa ktk timu!?

Soon tutaanza kuwapa uzoefu akina Van Ginkel na Ake kwa future Zaidi! Kalas ametisha! Combinetion Yao Jana na Ivanovic ilikua imesimama sn! Hakuna cha Suarez au sijui nani!
 
Last edited by a moderator:
No Cech
No Terry
No Oscar
No Ramires
No Hazard
No Eto'o

No problems.


Hahahaha hao wote hawapo,hivi walikuwa wanacheza na nani?


No Luiz
No Cahill
No Torres
 
Wanamwita MARTIN ARTIKINSON

alikuwa ametuchukia tangu mwanzo, yule wa mezani ndo kabisaa. alikuwa anabishana na Mourinho kule kwenye benchi..

CHELSEA FC..kiboko yao.

CFC 2 - 1 LIVERPOOL.
LIVERPOOL 0 - 2 CFC.
CHELSEA 2 - 1 MAN CITY.
MAN CITY 0 - 1 CFC.
SPURS 1 - 1 CFC.
CHELSEA 4 - 0 SPURS.
ARSENAL 0 - 0 CFC.
CFC 6 - 0 ARSENAL
MAN UTD 0 - 0 CFC.
CFC 3 - 1 MAN UTD.

kuna mtu anatudai?🙂
Poa mkuu,kwanza jana unakumbuka tulinyimwa penati ila ya mkono?
jana nilikuwa namwogopa sana yule refa,nadhani yangefanyika makosa madogo kwenye 18 za chelsea ingekuwa penati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…