Dah aya Mkuu!!ila nawashauri hao KOPs huko TZ wasihairishe party maana before May 11. Chochote chaweza tokea, ndio maana FA hawajawakabidhi City kikombe sababu kuna game mbili mbeleni
jamani mtanisamehe nipo kwenye Box nitakuja tu baadae kauchungulia Matokeo.
Mpira Bado?
Mpira ni mchezo wa maajabu the gunners walipata label ya '' Asenane'' baada ya kuchezea kichapo cha bao 8 kutoka kwa Manure. Bado nusu saa naamini CP anaweza kuchezea nane- kavu halafu kesi ikamalizwa tar 11 hahahahahaha!
Mpira ni mchezo wa maajabu the gunners walipata label ya '' Asenane'' baada ya kuchezea kichapo cha bao 8 kutoka kwa Manure. Bado nusu saa naamini CP anaweza kuchezea nane- kavu halafu kesi ikamalizwa tar 11 hahahahahaha!
Duh! Sio rahisi hivyo ndugu yangu.
nakubaliana na wewe mkuu lolote laweza tokea ktk mpira, time will tell
hivi mechi ya leo tukishinda 7-0 then ya mwisho tukashinda 7-0 si tutakuwa mabingwa...I mean man city wao washinde goli moja moja mechi zake zote ...@3
let's pray COP'S
Mpira ni mchezo wa maajabu the gunners walipata label ya '' Asenane'' baada ya kuchezea kichapo cha bao 8 kutoka kwa Manure. Bado nusu saa naamini CP anaweza kuchezea nane- kavu halafu kesi ikamalizwa tar 11 hahahahahaha!