LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
Dah aya Mkuu!!ila nawashauri hao KOPs huko TZ wasihairishe party maana before May 11. Chochote chaweza tokea, ndio maana FA hawajawakabidhi City kikombe sababu kuna game mbili mbeleni
MKUU pamoja sana tutapigana mpaka sekunde ya mwisho ya dk 180 zilizo bakia I hope lolote laweza tokea ubingwa bado upo wazi kwa Tim zote 2 kwetu na kwa man city
maana point zimekuwa sio dili tena kwenye Ligi ya uingereza but magoli ndio mpango mzimaa.
cops msikate tamaa