Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nakwambia mimi ni mshabiki wa mpira tangu miaka ya 70's Liver ni team yangu dam damu ila kwenye mpira lolote laweza tokea.
Niko na experience nayo sana huu ni mchezo, burudani usije ukapata hasira bure au furaha za kukufanya ufe(dead)
Mpira wa 70s sio wa leo jomba.
 
Khe Khe Khe Khe!

Wamezoea kubebwa Hawa loserfool!

Refa kaona nataka kuandamana KM atatoa penalty kaona akaushe!

Teh Teh Teh Teh

Mkuu BR haamini kinachoendelea hapa....TOURE anamfariji Suarez...hii kali mkuu
 
Agongwe wapi! nyie kama Arsenal tu hili kombe mtasikia kwenye BOMBA..
aiseeee hawa madogo wasaha haribu mahesabu yoote hapa?? lishakuwa tatizo hili harafu unaweza ukaona na man city nae anagongwa gam 1
 
kama unaongoza 3-0 halafu zote zinarudi kombe utalisubiri kwa zaidi ya miaka 24 kwa kweli....



Khe Khe Khe Khe

Nilisema mchana Leo kushambulia sn noma! Haya Bado tu hajajifunza Huyu kocha?
 
Khe Khe Khe Khe!

Wamezoea kubebwa Hawa loserfool!

Refa kaona nataka kuandamana KM atatoa penalty kaona akaushe!

Teh Teh Teh Teh

Anabebwaje Liver?? Hebu fafanua. Au Liver imekuwa Man?? Kama ilokuwa inabebwa mbona leo hajashinda???
 
kwa dizaini hii hakika napata sana mashaka na kushiriki kwetu msim ujao kwenye UEFA maana huu ni zaidi ya upumbafuuuu

watu mnaongoza gori tatu wanachomoa zote huu niuzembe mkubwa sana aisee BR tunahitaji marekebisho haraka sana
 
kwa dizaini hii hakika napata sana mashaka na kushiriki kwetu msim ujao kwenye UEFA maana huu ni zaidi ya upumbafuuuu

watu mnaongoza gori tatu wanachomoa zote huu niuzembe mkubwa sana aisee BR tunahitaji marekebisho haraka sana

Wewe ndio unajua Leo? Tumeyasema sn HAYO!
 
kwa dizaini hii hakika napata sana mashaka na kushiriki kwetu msim ujao kwenye UEFA maana huu ni zaidi ya upumbafuuuu

watu mnaongoza gori tatu wanachomoa zote huu niuzembe mkubwa sana aisee BR tunahitaji marekebisho haraka sana

Sio tuu useme wanatoa goli tatu pia zimetolewa ndani ya dakika 9
Dk 79
Dk 81 na
Dk 88
 
.....dahhh, taratibuni basi, mpaka wenzenu waikimbie thread yao?...

ImageUploadedByJamiiForums1399323941.432108.jpg


#MosKwito !
 
Back
Top Bottom