The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Nasikia yupo kwenye Maongezi ya kupewa mkataba mnono Arsenal....Nakubaliana na wewe,Agger hapaswi kuondoka,tunahtaji strength in depth,agger ni world class CB,lakini akiondoka afu akawa replaced na mtu kama Eliakim Mangala,yule wa Porto,kwangu mimi itakuwa bora zaidi.
MosDef,namchukia ian aiye vby mno! Tangu aje pale hakuna mchezaji wa mana aliemleta! Unakumbuka yule MD wa benitez na KD? Alikuwa hatari kwenye transfers,kuanzia huyo agger,mascherano,alonso,suarez,hendo etc ndo aliwaleta.angalia january huyo mpuuzi ayre alichokifanya kwa Kono na Salah,angalia last summer kwa Diego kosta na Mkihtaryan,akatuletea vimeo watupu akina aspas
Nasikia yupo kwenye Maongezi ya kupewa mkataba mnono Arsenal....
Nakubaliana na wewe,Agger hapaswi kuondoka,tunahtaji strength in depth,agger ni world class CB,lakini akiondoka afu akawa replaced na mtu kama Eliakim Mangala,yule wa Porto,kwangu mimi itakuwa bora zaidi.
Nasikia yupo kwenye Maongezi ya kupewa mkataba mnono Arsenal....
Cha ajabu, #LiverpoolEcho wanareport kuwa Lovren wa Southampton ndo our Top CB target..
Inashangaza saaaana!!!!!
Yaani Atoke Liverpool kuja Arsenal?????!!!!!!!!
unamuuza Agger unamnunua lovren? Hii itakuwa miujiza.
ki ukweli Ian Ayre ni mzuri katika busness lakin kwenye usajil hawez, amefanya mambo makubwa kibiashara lakin si kwenye usajil.Hahahahah!!!
Akina Christian Purslow, alijiuzulu jamaa, ndo akachaguliwa Mr.Ayre, asa kipindi kile Liverpool walikuwa na Damien Comolli as "the director of football strategy"..Na jamaa ndo aliyehusika na Signings zote za kina Suarez, Carrol, Henderson, Adams, Enrique na wengineo, Baada ya kuondoka 2012 na kumuacha peke yake Director wetu Ayre, ndo tabu ilipoanza hapo..Ian Ayre hakuna chochote cha maana alichokufanya katika usajili tangu mwaka 2012..bila ya BR mwnyw kuforce sidhani kama tungekuwa hata na kina Coutinho sahiv..Jamaa ni mzembe sana!!!!
Dah!!!..Damien Comolli angebak mpk sahv, Targets zote za Rodgers tangu atue #LFC tungezipata.. Diego Costa, MK, Salah, Kono, Willian, Muniain na wengine kibaooo!!!!
Tatzo bwana Ayre ni mzembeeee, Mfano mdogo ni hii ishu ya Lallana...
unamuuza Agger unamnunua lovren? Hii itakuwa miujiza.
ki ukweli Ian Ayre ni mzuri katika busness lakin kwenye usajil hawez, amefanya mambo makubwa kibiashara lakin si kwenye usajil.
Afu, huyo Lovren ilikuwa wamsajili Last year kabla hajaenda Southampton, Liverpool wakapiga chini, jamaa akaenda S'mpton, alikuwa anauzwa £8million tu, Sahiv kama Liverpool wakitaka kumsajili lazma iwatoke £15million..
Mr. Ayre na transfer comitee yake yote ni Upuuzi mtupu!!!!!..
nimeona mahali leo Manure wanamtaka Kono.usishangae kumuona Kono pale OT next season,huyo ndo Ian Ayre ndugu! Hana habari.
Anaweza akaenda Manure wakiwa serious, Manake naona Liverpool wameizima deal yake..Zikishindikana deals zingne ndo wanamkimbilia..
nilikua natafakari hapa ishu ya agger,na mwsho nimegundua kama BR alikuwa anafanya man management kama kawaida yake na nimempa kudos! Unajua ipoje,agger(Denmark) haishiriki WC mwaka huu,Sakho alikuwa injured kipindi kirefu nje,alichokuwa anafanya BR ni kumpa sakho nafasi ili apate nafasi ya kuretain chance yake kwenye national team yake aende WC.
nilikua natafakari hapa ishu ya agger,na mwsho nimegundua kama BR alikuwa anafanya man management kama kawaida yake na nimempa kudos! Unajua ipoje,agger(Denmark) haishiriki WC mwaka huu,Sakho alikuwa injured kipindi kirefu nje,alichokuwa anafanya BR ni kumpa sakho nafasi ili apate nafasi ya kuretain chance yake kwenye national team yake aende WC.