The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
MosDef,namchukia ian aiye vby mno! Tangu aje pale hakuna mchezaji wa mana aliemleta! Unakumbuka yule MD wa benitez na KD? Alikuwa hatari kwenye transfers,kuanzia huyo agger,mascherano,alonso,suarez,hendo etc ndo aliwaleta.angalia january huyo mpuuzi ayre alichokifanya kwa Kono na Salah,angalia last summer kwa Diego kosta na Mkihtaryan,akatuletea vimeo watupu akina aspas
Last edited by a moderator: