The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Hebu nisaidieni, tofauti ya Lovren na Skertel ni ipi??
skirtel is a right footed,lovren uses both right n left... I stand to be corrected
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nisaidieni, tofauti ya Lovren na Skertel ni ipi??
Lovren anaweza kucheza midfield ya kuzuia tizama clip zake utaona anajuwa kukokota mpira, Luis Suarez Deal Spain TV wanasema ni 63m pound ila baaazi ya watu huko huko Spain wanasema deal tayari ila Hiyo pesa ni katika makubaliano ya mwanzo then baadae Barca watawaongezea LFC itafika 72m mwisho ila kwa sasa LFC watachukua 63m za mwanzo sio mbaya hata Mascherano walilipa 16m then 7m wakalipa baada Six Month sijui mwaka Barcelona kwa LFC ndio ikatimia 23m.skirtel is a right footed,lovren uses both right n left... I stand to be corrected
Suarez nafikiri abaki tuu, maana alifanya kazi kubwa sana msimu uliopita na alionyesha dalili zote za kutaka kulipa fadhili hasa kutokana na kupata msamaha toka kwa mashaniki baada ya yale matukio yake ya kumng'ata Ivanovic na kumbagua Evra.
Kumuuza sasa kwa kosa alilolifanya kwenye national team sidhani kama itakuwa fair.
Suarez abaki tuliendeleze libeneke tu.
"Nlikuwepo":bolt:
Sanchez vipi? Hataki kuja?
anazuga zuga tu,anataka mpunga mrefu
Tukimkosa Sanchez tumchukue benteke
umepotea sana hapa jukwaani mkuu,BTW suarez ni kama keshaondoka tu,kwa stage iliyofikiwa kwa sasa,hawezi kubaki tena,cha msingi tujadiliane replacement yake tu
Hahahahahah!!!!!
Somebody just tweeted this on Twitter!!!!
Tukimkosa Sanchez tumchukue benteke
benteke sio world class player! Huwezi kumreplace suarez na benteke
Mi naona tusisajili foward tena hata km akiondoka suarez.borini, lambert na sturridge wanatosha kabisa.km tuna kisu kirefu ni bora tumchukue yule dogo wa colombia....james rodriguez. Kuliko kung'ang'ania suchez ambaye hana mapenzi na liverpool.
Kuna yule Origi naye mzuri tu sijui wamefikia wapi?
Kuondoka kwa Suarez ndiyo mwisho wa Liverpool, msimu wa ligi unakuja wazee wa Anfield watarudi katika nafasi zao walizo zizoea (6 - 12).
Kuondoka kwa Suarez ndiyo mwisho wa Liverpool, msimu wa ligi unakuja wazee wa Anfield watarudi katika nafasi zao walizo zizoea (6 - 12).
so bora bonny au baloteli kuliko benteke?