Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
hahahaaaaaaaaaaaaaaaa.... kweli jamaa ni PIMBI aiseeWe pimbi mwaka 2005 tulibeba uefa champ ila mwaka 5008 bado haujafika.
anazungumzia 5008??? kwikwikwikwikwikwikwikwikwiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaaaaaaaaaaaaaaa.... kweli jamaa ni PIMBI aiseeWe pimbi mwaka 2005 tulibeba uefa champ ila mwaka 5008 bado haujafika.
Kwa taarifa yako mimi ni mpenzi wa mpira wa Ulaya pengine hata kabla ya wewe haujazaliwa na ndiyo maana unakurupuka kuongea haya kwani kama ungejuwa ukweli wala usinge ongea juu ya hawa wachezaji. Ngoja nikupeleke shule kidogo. Kama unaongelea EPL tu, basi Manchester United ndiye yenye historia kubwa ndani ya EPL then inafuatiwa na Arsenal, Chelsea, Man City, na Blackburn kwani Liverpool haijawahi kuchukua kombe la EPL hata siku moja, umeipata hiyo? Au ulikuwa haujuwi bali uilkuwa unasikia tu? Owen hata siku moja hakuwahi kushinda kombe la Premier League mpaka alipochukua uhamuzi wa kwenda Manchester United ndipo aliposhinda kombe la EPL, umeelewa sasa? Fowler ndiyo ziro kabisaaa, hata kunusa hajawahi kulinusa hilo kombe. Gerrard anazeeka bila hata kushinda kombe la EPL, alijaribu msimu uliopita ila because of him kuchemsha na Liverpool wakateleza. Jifunze mkuu usione haibu. Kiujumla (Ligi ya First Division ya zamani na sasa EPL) Manchester United ndiyo yenye ubingwa zaidi (20) ikifuatiwa na Liverpool (18), ila Liverpool ina miaka 24 kwenda 25 haijachukua kombe la ubingwa Uingereza. Usijichanganye hapa...kombe la Cocacola, FA, na mengine madogo ya Uingereza si ubingwa wa Uingereza.....yale ni makombe tu kama vile unasema makombe ya mbuzi, nazi, machungwa. Usipende kubisha kitu usichokijuwa mkuu.
We pimbi mwaka 2005 tulibeba uefa champ ila mwaka 5008 bado haujafika.
Pimbi ni wewe, kwani ungeelewa tu kuwa mwaka I meant 2008 na si 5008. Mada hapa ni kwamba nimesema na kujibu kuwa Liverfool haijawahi kuchukua ubingwa wa EPL, never.
Nilihisi umeandika vitu vya msingi ingawa at least umejitahidi ingawa unajichanganya
Kushabikia mpira before mimi sijazaliwa hilo haliwezekani 100% hata kama we use fake id but unaweza kum-judge mtu kwa uandishi wake, pitia ulichoandika then uwe unajirekebisha before hauja-post
Mara ya kwanza naanza kukujibu nilihisi utakuwa muelewa ila naungana na Tores kuwa wewe ni pimbi
My advise kwako if you don't like LFC si lazima u-post humu kaanzishe thread yako
Mimi nakushauri ukae kimya ili kuihifadhi heshima kidogo uliyobakiza we boya!
ni ukwel anakuja au just rumours?
![]()
Ntanguliza kuwapa pole ya msimu ujao. Njooni tena hapa mwezi wa 5 mwakani, ila msije majeruhi kwani najuwa wengi wenu mtakuwa mmejiua kwa kushika nafasi ya 7.
Kasemaje? Emu tuekee link na sie tujionee!
Cole wa nini?
Cole wa nini?
Tusubiri msimu uanze kwani miaka yote wanasemaga hivi hivi kuwa watashinda ligi kutokana na usajiri mkalii walioufanya, mwisho wa siku wanachukua nafasi ya 8 au 10 na point 30 au zaidi nyuma ya bingwa wa ligi. Ila inatokea once in a while Liverpool wanapiga kelele kwenye ligi kama mwaka jana na mwaka 2005, 5008 then wadau wanadhani ndiyo timu imekamilika kumbe ni kelele za paka tu kwenye dirisha la mpangaji.
Anasema Liverpool Anthem,You'll never walk alone inampagawisha,anapenda kuisikia tena na tena! Nakiri,mashabiki na YNWA anthem hata mimi ndo vilivyonikonvis kuipenda LFC,sikufichi,ule wimbo huwa unanifanya nakuwa emotional sana...ndo maana nimepanga Mungu akiniweka hai,within 3 yrs nataka nikapige bonge la ziara pale Anfield...niangalie na game yetu na Everton au Manure pale Anfield.
naona mzimu wa kupigwa home and away bado unakuandama ndugu yangu,na nakuhakikishia,tunakupiga tena home and away! Utaona
Mpuuzi hupuuzwa....
Naona bbc na dailymail wanasema liverpool wanataka kuwapiga bao roma katka kumuwania A.cole.