Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Anasema Liverpool Anthem,You'll never walk alone inampagawisha,anapenda kuisikia tena na tena! Nakiri,mashabiki na YNWA anthem hata mimi ndo vilivyonikonvis kuipenda LFC,sikufichi,ule wimbo huwa unanifanya nakuwa emotional sana...ndo maana nimepanga Mungu akiniweka hai,within 3 yrs nataka nikapige bonge la ziara pale Anfield...niangalie na game yetu na Everton au Manure pale Anfield.
Natanguliza pole kwako na wengine wote. Kama Chelsea iliwachukua miaka 50 kupata ubingwa wa Uingereza why not Liverfool? bado miaka mingine 25 ya kusubiri, poleni sana.
Kwa kweli fans wa Lfc uwanjani huwa wanahamasisha kiasi kwamba players wanakuwa na morali ya gemu balaa! Nakutakia Kila la kheri ktk nia yako ya kufka hapo anfield.
Jamani origi ni mzuri? Napata wasiwasi kidogo na uwezo wake;
Sie fans wa Liverpool sio watu wa maneno mengi subiri moto utakaowashwa mwez agust uone. Inshort the coming season, the tittle is for liverpool.!!!
Haya maneno uliya quote from 25 years a go bcs this is what Liverfool fans say. Ila come January tayari wako 20+ points behind the leaders. Si ngeni kusikia haya. Poleni, tena sana tu.
Kweli we jamaa ni mbishi siwezi kukushnda ktk fani yako ya ubishi ila subiri hadi january mwakani uje uongee tena ulichoandka hapa.
Jamani origi ni mzuri? Napata wasiwasi kidogo na uwezo wake;
Origi ananunuliwa lkn anakopeshwa Lille kwa mwaka mzima so atarudi Liverpool ligi ya 2015/16
Okey hapo poa.lakini what kind of biznes is that? Yaani unaspend £ 10 mill.then unakopesha? Is better you take that £10 mill unatop up kwa sanchez or james rodriguez upate mtu bora ambaye atakusaidi kwenye msimu ujao.au we unaonaje?
Liverpool wamewekeza sehemu muafaka kabisa!Akiendelea na moto huu stock ya Origi itapanda mno wakati wa Euro qualification itakapo anza mwezi September mwaka huu!Bei ya Origi itafikia hata 35 milion!!
Madrid wanamtaka James Rod wa Colombia kwa 60 Milion sasa wakati Monaco walimnunua Porto kwa 45 Milion mwaka jana tu napo Monaco wanasema ongezeni hela zaidi
Okey hapo poa.lakini what kind of biznes is that? Yaani unaspend £ 10 mill.then unakopesha? Is better you take that £10 mill unatop up kwa sanchez or james rodriguez upate mtu bora ambaye atakusaidi kwenye msimu ujao.au we unaonaje?
Anyway let us take a risk.
Anyway let us take a risk.
Mshikaji mbona uko shallow sana.for ur information is better u have a nuetral guy in your squard kuliko mtu ambaye anaonesha hisia zake kwa club fulani.uko dunia ipi ambayo hujui kinachoendelea.sanchez has verbal agreement with gunnerz.