Its so f*kn hard to be a liverpool fan
So just because Remy had heart problem liver wameamua kuvunja deal..
He played marseille, qpr and Newcastle akiwa na tatizo hilo, mtu kama Remy anauzwa 8.5m tu na mshahara wa 60k, unavunja deal..!!!!!
Its so f*kn hard to be a liverpool fan
So just because Remy had heart problem liver wameamua kuvunja deal..
He played marseille, qpr and Newcastle akiwa na tatizo hilo, mtu kama Remy anauzwa 8.5m tu na mshahara wa 60k, unavunja deal..!!!!!
Hata Mie wameniuzi mwanzo mtu kanitumia msg Remy deal imevunjika sababu Medical nikakumbuka Marseille mwanzo Ali fail sababu ya Moyo ila baadae wakamchukua Stoke pia alienda Ali fail medical sababu moyo ila QPR na Newcastle hawakujali nashangaa LFC Pengine wameona umri wake na huo ugonjwa utakuja kumpiga mapema? Ah wanadamu sio wote wagonjwa wangemchukua tu sasa ngoja tupoteze pesa kwa Rodriguez nitalia bora aje Bony watanifurahisha.Its so f*kn hard to be a liverpool fan
So just because Remy had heart problem liver wameamua kuvunja deal..
He played marseille, qpr and Newcastle akiwa na tatizo hilo, mtu kama Remy anauzwa 8.5m tu na mshahara wa 60k, unavunja deal..!!!!!
Hata Mie wameniuzi mwanzo mtu kanitumia msg Remy deal imevunjika sababu Medical nikakumbuka Marseille mwanzo Ali fail sababu ya Moyo ila baadae wakamchukua Stoke pia alienda Ali fail medical sababu moyo ila QPR na Newcastle hawakujali nashangaa LFC Pengine wameona umri wake na huo ugonjwa utakuja kumpiga mapema? Ah wanadamu sio wote wagonjwa wangemchukua tu sasa ngoja tupoteze pesa kwa Rodriguez nitalia bora aje Bony watanifurahisha.
Gemu saa ngapi leo wakuu????
Blac kid,Mzee Wa Rubisi,Martin David,The Magnificent,Malafyale,MosDef,Janjaweed pamoja na mkuu Pazi.
Its so f*kn hard to be a liverpool fan
So just because Remy had heart problem liver wameamua kuvunja deal..
He played marseille, qpr and Newcastle akiwa na tatizo hilo, mtu kama Remy anauzwa 8.5m tu na mshahara wa 60k, unavunja deal..!!!!!
Still mzigo wa kusajili bado upo...tuvumilie wadau BR atafanya yake tu.
Me nasemaga kila siku kuwa Ayre anatuharibia team sana.
Tena hilo tatizo la Moyo ni dogo saana, ndo maana marseille, qpr na Newcastle consdered him, inamaana kama lisingekuwa.kubwa wasingekubali kuchukua hiyo risky, na its a known fact kuwa Remy had medical problems tangu marseille, so why making a move??
Remy angefit sana kwenye kikosi cha LFC ya sasa..
Dah! Yule Ayre sijui kwanini Alizaliwa!
Mimi naona sawa tu brother,nimeona ana tatizo la goti pia!
Mie Ayre pia siimpendi hata Carra amesikitishwa na LFC kumuachia Remy kwa bei rahisi! Ila Medical ndio inaipa ushauri team. Loic Remy alivyokwenda Marseille ndio timu kubwa aligunduliwa na tatizo huko ikabidi deal iwe frozen kwa muda Marseille wa kapewa ushauri ataweza kucheza baadae jamaa akawa nataka kuja kucheza EPL na timu kubwa nyingi ziliogopa kumpa sign kwa Hilo tatizo a katumia njia kwenda Stoke Kule aka fail medical ndio QPR walimchukua sababu goodplayer na sio timu kubwa waliona tatizo ila waliona ndio njia ya Kubaki EPL, QPR kushuka alienda Loan Newcastle ili apate njia timu kubwa ndio maana Remy alijipeleka game ya mwisho Emirates, Arsenal ukiwaacha mshahara ukweli nasikia pia ni wanajuwa history ya kijana sasa Remy amekubali 60,000 kwa week ila bahati mbaya huu ugonjwa ndio unamsababishia timu kubwa zinaogopa gamble fikiria akicheza game 15 mara fyaaaa tatizo limekuwa itakuwaje nani wa kulaumiwa? Henry? manager? Tukubali ukweli Mie namuombea Loic Remy matatizo yasimtokee apate timu afanye vizuri ila pia LfC tumejikosea mchezaji Mzuri.Simpendi Ayre,ila kwa hili me nadhani tunamuonea tu,medical team ndo inapropose nini kifanyike,Ayre anapitisha tu,kuna mambo mengine yapo sensitive sana,me nadhani hata wao walimtaka sana remy ndo mana wakampa ofa,ila ndo hvyo tena.
Hii ishu imeniumiza sana!!!!! It was almost a Done deal.Its so f*kn hard to be a liverpool fan
So just because Remy had heart problem liver wameamua kuvunja deal..
He played marseille, qpr and Newcastle akiwa na tatizo hilo, mtu kama Remy anauzwa 8.5m tu na mshahara wa 60k, unavunja deal..!!!!!
Simpendi Ayre,ila kwa hili me nadhani tunamuonea tu,medical team ndo inapropose nini kifanyike,Ayre anapitisha tu,kuna mambo mengine yapo sensitive sana,me nadhani hata wao walimtaka sana remy ndo mana wakampa ofa,ila ndo hvyo tena.